opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 8
Hii inadhihirisha jinsi gani serikali ya CCM inavyopeleka nchi kubaya kwa kuendeleza urasimu wa kipumbavu katika ulipaji wa mishahara kwa watumishi wasio kuwa na akaunti NMB.Wafanyakazi wa serikali wenye akaunti benki nyingine kama vile NBC,CRDB wamekuwa wakinyanyaswa kwa muda mrefu kwa kucheleweshewa mishahara yao kwa makusudi ili wakate tamaa kuchukulia mishahara benki nyingine.
Tunajua nyini mafisadi mnategemea pesa za kuwahonga wapiga kura kutoka benki ya NMB.....lakini isiwe sababu kuwatesa baadhi ya watumishi wa serikali walioikimbia benki hii kwa kuwawekea mishahara yao tarehe 5.
Huu ni uhuni...Kwa nini nchi hii inakosa utawala bora? Kwani ni dhambi mtumishi kuamua mwenyewe mshahara wake upitie benki anayoipenda ? Hivi hawa viongozi tuliowapa dhamana ya kutuongoza wameshindwa uongozi?
Tunajua nyini mafisadi mnategemea pesa za kuwahonga wapiga kura kutoka benki ya NMB.....lakini isiwe sababu kuwatesa baadhi ya watumishi wa serikali walioikimbia benki hii kwa kuwawekea mishahara yao tarehe 5.
Huu ni uhuni...Kwa nini nchi hii inakosa utawala bora? Kwani ni dhambi mtumishi kuamua mwenyewe mshahara wake upitie benki anayoipenda ? Hivi hawa viongozi tuliowapa dhamana ya kutuongoza wameshindwa uongozi?