Serikali ya CCM haioni aibu kudanganya juu ya kukamilika mradi wa Sgr Dar to Moro?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,085
6,564
Wakati wa hayati JPM tuliambiwa mradi utakamilika Nov 2019. Hapo tukapata uhakika wa kutembea na train Dar Moro kwa nusu saa.

Baadae mambo yakabuma tukaambiwa mwaka 2020 mapema tu mradi utakamilika.

Baadae tena baada ya JPM kufariki tukaambiwa April 2021. Lakini mpaka sasa ni kimya kizito.

Tukapigwa sound kuwa ni Agosti 2021 kila kitu kitakamilika na mabehewa yameshakamilika. Mpaka sasa ni kimya na tunaitafuta 2022.
 
Tuwe wapole tu...watakamilisha, ukitazama hadi sasa ni kama wamebakiza sehemu ndogondogo mno kwenye njia ya treni
 
Na unaambiwa zile pesa lile dubwana la chato lilikopea SGR tayari zimeanza kulipwa

Lile dude limeiingiza hii nchi kwenye madeni makubwa kwa sababu ya kukopa kwenye vibank & vitaasisi uchwara
 
Wakati wa hayati JPM tuliambiwa mradi utakamilika Nov 2019. Hapo tukapata uhakika wa kutembea na train Dar Moro kwa nusu saa.

Baadae mambo yakabuma tukaambiwa mwaka 2020 mapema tu mradi utakamilika.

Baadae tena baada ya JPM kufariki tukaambiwa April 2021. Lakini mpaka sasa ni kimya kizito.

Tukapigwa sound kuwa ni Agosti 2021 kila kitu kitakamilika na mabehewa yameshakamilika. Mpaka sasa ni kimya na tunaitafuta 2022.
Kiongozi muongo ni aibu kwa mkewe na wanawe
 
Wakati wa hayati JPM tuliambiwa mradi utakamilika Nov 2019. Hapo tukapata uhakika wa kutembea na train Dar Moro kwa nusu saa.

Baadae mambo yakabuma tukaambiwa mwaka 2020 mapema tu mradi utakamilika.

Baadae tena baada ya JPM kufariki tukaambiwa April 2021. Lakini mpaka sasa ni kimya kizito.

Tukapigwa sound kuwa ni Agosti 2021 kila kitu kitakamilika na mabehewa yameshakamilika. Mpaka sasa ni kimya na tunaitafuta 2022.
Kuwaamini CCM ni sawa na kuiamini nyumba ndogo.
 
Wakati wa hayati JPM tuliambiwa mradi utakamilika Nov 2019. Hapo tukapata uhakika wa kutembea na train Dar Moro kwa nusu saa.

Baadae mambo yakabuma tukaambiwa mwaka 2020 mapema tu mradi utakamilika.

Baadae tena baada ya JPM kufariki tukaambiwa April 2021. Lakini mpaka sasa ni kimya kizito.

Tukapigwa sound kuwa ni Agosti 2021 kila kitu kitakamilika na mabehewa yameshakamilika. Mpaka sasa ni kimya na tunaitafuta 2022.
Na sasa 2022 tunaelekea 2023; njia ya mwongo fupi

Lile Daraja lenyewe la kutoka Stesheni hadi Pugu nadhani liko asilimia 60, ngoma bado mbichi
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom