dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Huyo jamaa na maJiwe worshiper wenzake kwa sasa wamekuwa kasuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida ya mjinga kutoa mipasho, ungekuwa na akili ungejibu hoja, kwa sababu hakuna mradi mkubwa unafanywa na wazawa na materials tunaagiza nje. Hela za ndani zinaenda nje, hapa bongo mmeuza nn kama koroshow zipo gharani
Sent using Jamii Forums mobile app