Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Naomba nieleweke na atakayetaka kuamini sio jukumu langu ni lake kutafakari na kuona facts.
Rais Magufuli alidanganya umma kuwa tunajenga kwa fedha za ndani ukweli ni kwamba tumekopa sana kwa ajili ya miradi mikubwa mingi isiyo katika bajeti wala uwezo wetu wa kuijenga kwa pupa kiasi hicho kwa mifano ifuatayo;
1. SGR inayogharimu tril 7
2. Stieglers gorge inayogharimu tril 6.7
3. Ununuzi wa ndege unaogharimu tril 1.9
4. Ununuzi wa ndege binafsi za rais unagharimu bil 500
5. Unenji wa madaraja unagharimu zaidi ya tril 1
Tukumbuke tuna deni la taifa linazidi tril 55 ambalo kila mwaka lazima lilipwe riba na rejesho huku kodi na mapato kwa nchi ukiweka na matumizi huwa tunabaki na nakisi (madeni)
Na kwa ufupi mapato na matumizi havilingani kwa nchi yetu. Sisi ni matajiri ila utajiri wetu wa mdomoni. Kwa vitendo zero kabisa ni umangungo tupu.
Kikubwa zaidi mapato na.mikopo yetu tunayoiweka kwenye miradi karibia 80% ya matumizi yake yanaenda nje ya nchi kwa sababu wakandarasi wote ni raia wa nje, hapa bongo fedha haikai, kuanzia ununuzi wa ndege, ujenzi wa reli hata ujenzi wa Stiegler fedha zinaenda nje.
Na kinachoangaliwa na serikali hii kwa mwaka huu ni kuongeza mishahara na uchaguzi fedha hazipo ndio maana wanatoa jicho wakope kokote ili waondokane na aibu ya kujiita matajiri na sio kingine.
Awamu hii sio kwa hali hii ya kulilia mikopo inayojimwambafai kukusanya kuliko awamu zilizopita.
Rais Magufuli alidanganya umma kuwa tunajenga kwa fedha za ndani ukweli ni kwamba tumekopa sana kwa ajili ya miradi mikubwa mingi isiyo katika bajeti wala uwezo wetu wa kuijenga kwa pupa kiasi hicho kwa mifano ifuatayo;
1. SGR inayogharimu tril 7
2. Stieglers gorge inayogharimu tril 6.7
3. Ununuzi wa ndege unaogharimu tril 1.9
4. Ununuzi wa ndege binafsi za rais unagharimu bil 500
5. Unenji wa madaraja unagharimu zaidi ya tril 1
Tukumbuke tuna deni la taifa linazidi tril 55 ambalo kila mwaka lazima lilipwe riba na rejesho huku kodi na mapato kwa nchi ukiweka na matumizi huwa tunabaki na nakisi (madeni)
Na kwa ufupi mapato na matumizi havilingani kwa nchi yetu. Sisi ni matajiri ila utajiri wetu wa mdomoni. Kwa vitendo zero kabisa ni umangungo tupu.
Kikubwa zaidi mapato na.mikopo yetu tunayoiweka kwenye miradi karibia 80% ya matumizi yake yanaenda nje ya nchi kwa sababu wakandarasi wote ni raia wa nje, hapa bongo fedha haikai, kuanzia ununuzi wa ndege, ujenzi wa reli hata ujenzi wa Stiegler fedha zinaenda nje.
Na kinachoangaliwa na serikali hii kwa mwaka huu ni kuongeza mishahara na uchaguzi fedha hazipo ndio maana wanatoa jicho wakope kokote ili waondokane na aibu ya kujiita matajiri na sio kingine.
Awamu hii sio kwa hali hii ya kulilia mikopo inayojimwambafai kukusanya kuliko awamu zilizopita.