ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Kimsingi nimewahi kufanya kazi na serikali zote, lakini hii ya awamu ya tano ni kiboko. Haya ni baadhi tu ya mambo ya uwongo ambayo waliwahadaa watanzania; .
1: kila kijiji kitapewa milioni 50 katika kila mwaka.
2: Tumepunguza mishahara ya watu wanao pokea mishahara mikubwa ili kuwapandishia mishahara wafanyakazi wa chini
3: ACCACIA wamekubali kutulipa tilioni 108 walizotuibia
4: Kila mwalimu atapewa tablet
5: Wapinzani wasitegemee kupewa nafasi yoyote katika serikali hii.
6:Mafisadi ndio wanaolalamika hakuna fedha mitaani.
7: Katika serikali yangu vilaza hawana nafasi.
Uwongo mwingine unao ukumbuka unaweza kuongezea mwenzangu mwana jf.
1: kila kijiji kitapewa milioni 50 katika kila mwaka.
2: Tumepunguza mishahara ya watu wanao pokea mishahara mikubwa ili kuwapandishia mishahara wafanyakazi wa chini
3: ACCACIA wamekubali kutulipa tilioni 108 walizotuibia
4: Kila mwalimu atapewa tablet
5: Wapinzani wasitegemee kupewa nafasi yoyote katika serikali hii.
6:Mafisadi ndio wanaolalamika hakuna fedha mitaani.
7: Katika serikali yangu vilaza hawana nafasi.
Uwongo mwingine unao ukumbuka unaweza kuongezea mwenzangu mwana jf.