HahaaaaaUkweli mchungu!!!Nyingine hii;
Nikitoka Chato nitatoa salary slip
HahaaaaaUkweli mchungu!!!Nyingine hii;
Nikitoka Chato nitatoa salary slip
Usidhan kila mtu ni mbumbumbu kama wewe!danganya nyumbu wenzako!
Usidhan kila mtu ni mbumbumbu kama wewe!danganya nyumbu wenzako!
..sasa hapo unaona umeandika kitu cha maana!Kimsingi nimewahi kufanya kazi na serikali zote, lakini hii ya awamu ya tano ni kiboko. Haya ni baadhi tu ya mambo ya uwongo ambayo waliwahadaa watanzania; .
1: kila kijiji kitapewa milioni 50 katika kila mwaka.
2: Tumepunguza mishahara ya watu wanao pokea mishahara mikubwa ili kuwapandishia mishahara wafanyakazi wa chini
3: ACCACIA wamekubali kutulipa tilioni 108 walizotuibia
4: Kila mwalimu atapewa tablet
5: Wapinzani wasitegemee kupewa nafasi yoyote katika serikali hii.
6:Mafisadi ndio wanaolalamika hakuna fedha mitaani.
7: Katika serikali yangu vilaza hawana nafasi.
Uwongo mwingine unao ukumbuka unaweza kuongezea mwenzangu mwana jf.
Mbona huna hoja mkuu, sema ukweli sasa wewe, mwenzio kasema alichoona! Au na wewe ni mnyarwanda pandikizi?Usidhan kila mtu ni mbumbumbu kama wewe!danganya nyumbu wenzako!
Ha!, tetea hoja sasa muongo kivipi? Yeye katuelezea, wewe unasema ni muongo bila kutuelezea, sasa tumwamini nani?Mleta mada ndio muongo namba moja africa. Mzushi na mpotoshaji mkubwa