Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Niwaulizeni wana jamvi,
Hivi mbona bado nayaona magari aina ya 'mashangingi' tunapishana nayo mtaani. Tena ya sasa hivi naona wanachukua yenye hips kubwa, mazuri mpaka raha.
Kweli ukionja huwezi kuacha. Inahitaji nguvu ya ziada kuyaacha. Yanabonyea unapoyapanda. Yaani ni macho kodo kila yapitapo.
Nakumbuka kaka mkubwa alisema hataangalia sura wala nini lakini naona kakubali yaishe.
Hivi mbona bado nayaona magari aina ya 'mashangingi' tunapishana nayo mtaani. Tena ya sasa hivi naona wanachukua yenye hips kubwa, mazuri mpaka raha.
Kweli ukionja huwezi kuacha. Inahitaji nguvu ya ziada kuyaacha. Yanabonyea unapoyapanda. Yaani ni macho kodo kila yapitapo.
Nakumbuka kaka mkubwa alisema hataangalia sura wala nini lakini naona kakubali yaishe.