Serikali ya awamu ya tano ilikusanya kodi Trilioni 1.3 kwa mwezi, leo awamu ya sita yakopa fedha hizohizo kutoka IMF kwa matumizi yaleyale

Aliwezaje kujenga miradi yote hiyo bila makusanyo ya TRA? Kwa hiyo ile kauli ya kupora pesa za wafanyabiashara imekufa tena??!!

Jpm hata mmesemeje Legacy yake itaishi milele, ameacha alama zinazoishi, kila ukiona Kati ya hivi lazima umkumbuke (SGR, Bwawa la umeme Rufiji, Ubungo flyover, Salender bridge, Busisi Bridge n.k)
Daa hapo dingi alicheza, ni mtego mkali sana kwa wanao mfuata.
 
Katika hiyohiyo unodai propaganda walimu na watumishi walilipwa mishahara kwa wakati tarehe 22.

Wanafunzi wote si waliendelea na masomo kwa mpango wa elimu bure?

Hizi fedha si zilitokana ni hiyohiyo kodi?
ELEWA WANAFUNZI KUSOMA BURE ILIKUWA NI FICTIONS TU,UKINIAMBIA MIMI NILISOMA BURE SAWA MAANA HATA MADAFTARI TULIPATIWA SHULENI,LINASAINIWA MWISHONI UNAENDA STOO UNAONYESHA UNAPATIWA JIPYA,
SALARY:-SHERIA INASEMA MTU ATALIPWA NSHAHARA KILA BAADA YA SIKU 28,NINYI MMEBADILISHIWA TAREHE ETI MNASHANGILIA KAMA MAZUZU.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kiwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.

true
 
Ule ulikuwa ni uongo wa dhalimu mwendazake. Ukusanye pesa yote hiyo halafu kwa miaka mitano ushindwe kuongeza mishahara ya Wafanyakazi? 😳

Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kiwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
 
Mkuu huyu jamaa haelewi kabisa kuhusu hali mbaya ya Elimu yetu Tanzania yeye kulipwa mishahara tarehe 22 kila mwezi kaona ni mafanikio makubwa sana bila ya kuangalia udogo wa mishahara husika na gharama kubwa sana za maisha kila kona nchini.

ELEWA WANAFUNZI KUSOMA BURE ILIKUWA NI FICTIONS TU,UKINIAMBIA MIMI NILISOMA BURE SAWA MAANA HATA MADAFTARI TULIPATIWA SHULENI,LINASAINIWA MWISHONI UNAENDA STOO UNAONYESHA UNAPATIWA JIPYA,
SALARY:-SHERIA INASEMA MTU ATALIPWA NSHAHARA KILA BAADA YA SIKU 28,NINYI MMEBADILISHIWA TAREHE ETI MNASHANGILIA KAMA MAZUZU.
 
Aliwezaje kujenga miradi yote hiyo bila makusanyo ya TRA? Kwa hiyo ile kauli ya kupora pesa za wafanyabiashara imekufa tena??!!

Jpm hata mmesemeje Legacy yake itaishi milele, ameacha alama zinazoishi, kila ukiona Kati ya hivi lazima umkumbuke (SGR, Bwawa la umeme Rufiji, Ubungo flyover, Salender bridge, Busisi Bridge n.k)
Tulidanganya mno miradi yote ni mikopo ambayo haikutangazwa mfano sgr yote ni mkopo ingia Wikipedia wameelezea kwa kina pesa zilipotoka na benki zilizokopesha tz. Tanzania Standard Gauge Railway - Wikipedia
 
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kiwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
Utamusa ya kodi kutoka kwenye biashara zipi?
 
sasa ndo nn umeongea mdogo wangu:
- In 2020, the total revenue of the U.S. government sum up to about 3.42 trillion U.S. dollars and consist of individual and corporate income taxes, payroll taxes and other taxes. Individual income taxes totaled up to 1.6 trillion U.S. dollars in 2020, whereas corporate income taxes totaled to 212 billion U.S. dollars

  • Ontop of that the federal reserve printed more than $305M each day for the government
  • and ontop of that the united states took a loan from china!

unaona unapokwama? do you see where your stupidity comes from?
What are you trying to justify?
 
Ilikuwa propaganda, waulize watu wa TRA. Mbilikimo alikuwa anakusanya nusu ya hayo mapato

Mbilikimo alipika takwimu nyingi to compensate for his inferiority complex baada ya kuharibu uchumi imara ulioachwa na Mkwere.
We kweli utopologist..kwamba haiwezekani? Utasema hata ile bajeti ya kenya ambayo zaidi ya 80% ni pato lao uongo.

Nyie mtakopa na mtaweka hadi tozo za kufungulia akaunti ila hamtaweza kufanya hata nusu ya miradi ya jpm hata tukiwapa miaka 20 na mikopo kila wiki.

JPM sio mkwere wala hangaya
 
We kweli utopologist..kwamba haiwezekani? Utasema hata ile bajeti ya kenya ambayo zaidi ya 80% ni pato lao uongo.

Nyie mtakopa na mtaweka hadi tozo za kufungulia akaunti ila hamtaweza kufanya hata nusu ya miradi ya jpm hata tukiwapa miaka 20 na mikopo kila wiki.

JPM sio mkwere wala hangaya
Hiyo miradi yote ni mikopo 100%

Hata mzee mpili kama raisi anaweza kufanya hayo aliyofanya mshamba wenu
 
Magufuli alitudanganya sana,na tukaamini uongo huo wa propaganda za kurudia kitu kile kile mara kwa mara tukaamini.Pia hakutaka mtu yeyote kuhoji hatua zake,hata takwimi zilitolewa anazotaka yeye.
Watalii hawakuja sababu ya Covid-19, bado mjomba Magu alutuhakishia watalii wanakuja which was complete nonsense kwani majority walikuwa katika lockdown.
Sasa hayupo,ila ukweli ndio huo alikopa over 31 Trillion shillings kwa muda wa miaka mitano kuliko Raisi yeyote alietawa nchi hii.
 
Hiyo miradi yote ni mikopo 100%

Hata mzee mpili kama raisi anaweza kufanya hayo aliyofanya mshamba wenu
Upo sahihi kabisa. Wikipedia wameelezea miradi yote. Mfano sgr yote ni mikopo Tanzania Standard Gauge Railway - Wikipedia
Ukweli ni
Dar- Moro ni mkopo wa benki fulani ya Uturuki
Moro- Makutopora ni mkopo wa Standard Chartered Bank
Isaka-Mwanza ni mkopo toka China
Pia kuna Mikopo bado inatafutwa toka Benki mbalimbali mpaka reli ifike Rwanda na Congo. Huu ndio ukweli kwa mujibu wa Wikipedia.
 
Magufuli alitudanganya sana,na tukaamini uongo huo wa propaganda za kurudia kitu kile kile mara kwa mara tukaamini.Pia hakutaka mtu yeyote kuhoji hatua zake,hata takwimi zilitolewa anazotaka yeye.
Watalii hawakuja sababu ya Covid-19, bado mjomba Magu alutuhakishia watalii wanakuja which was complete nonsense kwani majority walikuwa katika lockdown.
Sasa hayupo,ila ukweli ndio huo alikopa over 31 Trillion shillings kwa muda wa miaka mitano kuliko Raisi yeyote alietawa nchi hii.
Only illiterate fools waliamini propaganda zake, aliligeuza taifa kuwa kituko na kichekesho ulimwenguni kwa policy zake za kupambana na covid.

Eti virusi vya corona haviwezi kuishi ndani ya mwili unaoamini Yesu Kristo 🤣🤣
 
Wakati huo mwendakuzimu si bado alikuwa hai au?

Chukua hii fact, Mbilikimo alikuwa anakusanya mapato kidogo kuliko Mkwere baada ya kuvuruga uchumi.

TRA katika historia yake haijawahi kukusanya 2 trillion au karibia na hicho kiasi.
Mbona mama ajasema hivyo, kama mapato yakikuwa chini na elimu ilikuwa bure miradi ilikuwa inaendelea ,hakukuwa na tozo wala kodi ya uzarendo hiyo ni ushaidi kuwa magufuli ni genius
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom