Serikali ya awamu ya tano ilikusanya kodi Trilioni 1.3 kwa mwezi, leo awamu ya sita yakopa fedha hizohizo kutoka IMF kwa matumizi yaleyale

Serikali ya awamu ya 5 ilifanya vizuri kukusanya kodi iko kiwango walifikia.
Wiki iliyopita nimenunua Mchine 1,200,000 wamenisafirishia mpaka Mkoani cha ajabu nikifungua bahasha yenye risiti nakuta ile risit ina kiasi cha elf 40,000.
Ukwepaji wa kodi unategemea Serikali ya awamu ya sita itakusanya kodi shilling ngapi kwa ukwepaji huu. Utofauti hapo ni 1,160,000
 
Wakati huo mwendakuzimu si bado alikuwa hai au?

Chukua hii fact, Mbilikimo alikuwa anakusanya mapato kidogo kuliko Mkwere baada ya kuvuruga uchumi.

TRA katika historia yake haijawahi kukusanya 2 trillion au karibia na hicho kiasi.
Aliwezaje kujenga miradi yote hiyo bila makusanyo ya TRA? Kwa hiyo ile kauli ya kupora pesa za wafanyabiashara imekufa tena??!!

Jpm hata mmesemeje Legacy yake itaishi milele, ameacha alama zinazoishi, kila ukiona Kati ya hivi lazima umkumbuke (SGR, Bwawa la umeme Rufiji, Ubungo flyover, Salender bridge, Busisi Bridge n.k)
 
Serikali ya awamu ya 5 ilifanya vizuri kukusanya kodi iko kiwango walifikia.
Wiki iliyopita nimenunua Mchine 1,200,000 wamenisafirishia mpaka Mkoani cha ajabu nikifungua bahasha yenye risiti nakuta ile risit ina kiasi cha elf 40,000.
Ukwepaji wa kodi unategemea Serikali ya awamu ya sita itakusanya kodi shilling ngapi kwa ukwepaji huu. Utofauti hapo ni 1,160,000
Haya mambo yalikuwepo ata awamu zilizopita. Usiaminishe kwamba kipindi cha Mwendazake watu hawakukwepa kodi.

Kipindi hiki wenye maduka Kariakoo si ndio kwa uwingi walikuwa wanawapa Machinga mizigo yao jioni wanaletewa hesabu, alafu kwenye mauzo ya EFD NIL.
 
TRA mwezi Decemba 2020 walitangaza mapato ya trilioni 2.
Kutangaza sio issue..

Hakuna awamu iliyokosa transparency kama ile..

Kwani si walitangaza Corona haipo Tanzania?


Kwani ni ukweli kuwa corona haikuwepo? Kutangaza ni issue nyingine na uhalisia ni issue nyingine.


Jiwe alijeopardize media zote ndio maana haikua rahisi kujua data zilikua cooked! Waulize wahusika vizuri watakupa ukweli.
 
Ingawa marehemu hasemwi vibaya, Mzee wetu alikuwa na fix nyingi. Alijua hadi idadi ya vifaranga vya samaki ziwani!
 
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
Serekali ya CCM awamu ya 5 pia ilikuwa ikijinasibu kuwa eti uchumi wetu ni mzuri sana wa viwango vya lami.

Serekali ya awamu ya 6 (hii nadhani ni ya Chadema hii) imekuja inatuambia eti hali ya uchumi ni mbaya sana.

Bora tuirudishe tena CCM madarakani 2025 tuiondoe hii ya sasa ya Chadema!!
 
Serekali ya CCM awamu ya 5 pia ilikuwa ikijinasibu kuwa eti uchumi wetu ni mzuri sana wa viwango vya lami.

Serekali ya awamu ya 6 (hii nadhani ni ya Chadema hii) imekuja inatuambia eti hali ya uchumi ni mbaya sana.

Bora tuirudishe tena CCM madarakani 2025 tuiondoe hii ya sasa ya Chadema!!
Sidhan kama watakuelewa ulichokiandika
 
Ilikuwa propaganda, waulize watu wa TRA. Mbilikimo alikuwa anakusanya nusu ya hayo mapato

Mbilikimo alipika takwimu nyingi to compensate for his inferiority complex baada ya kuharibu uchumi imara ulioachwa na Mkwere.

hata awamu ya tano mbna mikopo wamechukua sana ama kuna cha kushangaza apo?
 
Serekali ya CCM awamu ya 5 pia ilikuwa ikijinasibu kuwa eti uchumi wetu ni mzuri sana wa viwango vya lami.

Serekali ya awamu ya 6 (hii nadhani ni ya Chadema hii) imekuja inatuambia eti hali ya uchumi ni mbaya sana.

Bora tuirudishe tena CCM madarakani 2025 tuiondoe hii ya sasa ya Chadema!!

hapana mkuu bora tuwape mgombea tena bila hivo watu watakua hawawaskilizi
 
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
Vitu vingine ni vzr mkatafuta wataam wa kodi au wahusika tra juu ya hilo pishi la 1.3 kwa mwezi
 
Wakati huo mwendakuzimu si bado alikuwa hai au?

Chukua hii fact, Mbilikimo alikuwa anakusanya mapato kidogo kuliko Mkwere baada ya kuvuruga uchumi.

TRA katika historia yake haijawahi kukusanya 2 trillion au karibia na hicho kiasi.

sasa ndo nn umeongea mdogo wangu:
- In 2020, the total revenue of the U.S. government sum up to about 3.42 trillion U.S. dollars and consist of individual and corporate income taxes, payroll taxes and other taxes. Individual income taxes totaled up to 1.6 trillion U.S. dollars in 2020, whereas corporate income taxes totaled to 212 billion U.S. dollars

  • Ontop of that the federal reserve printed more than $305M each day for the government
  • and ontop of that the united states took a loan from china!

unaona unapokwama? do you see where your stupidity comes from?
 
*WENYE AKILI TUNAFAHAMU TULIENDESHWA KIPROPAGANDA ZAIDI NA SIO KIUHALISIA,
MF;*alikuwa anazindua mradi fulani huku mnaona bango kabisa limeandikwa mfadhili,yeye hapo hapo anatamka tunajenga wenyewe what was this?

mradi gan huo alisema tunajenga wenyewe kukawa na bango la mfadhili?
 
Back
Top Bottom