Serikali ya awamu ya tano ilikusanya kodi Trilioni 1.3 kwa mwezi, leo awamu ya sita yakopa fedha hizohizo kutoka IMF kwa matumizi yaleyale

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,876
20,284
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kiwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
 
Wakati huo mwendakuzimu si bado alikuwa hai au?

Chukua hii fact, Mbilikimo alikuwa anakusanya mapato kidogo kuliko Mkwere baada ya kuvuruga uchumi.

TRA katika historia yake haijawahi kukusanya 2 trillion au karibia na hicho kiasi.
Ni jambo la uzuri kwa raisi Samia kuwaambia watanzania hali halisi ili kulinda heshima yake.

Maana alikuwepo kwenye serikali ya awamu ya tano.

Watanzania wanastahiki heshima maana wao ndo waajiri wa CCM.
 
Ni jambo la uzuri kwa raisi Samia kuwaambia watanzania hali halisi ili kulinda heshima yake.

Maana alikuwepo kwenye serikali ya awamu ya tano.

Watanzania wanastahiki heshima maana wao ndo waajiri wa CCM.
The Push Gang hawatamruhusu
 
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
Mleta mada naona upeo wako ni mdogo sana! Nchi haiongozwi kishamba kama unavyofikiri wewe! Huwezi kuchukua mapato yote ya mwezi dola milioni 500 eti unaenda kununu dozi za COVID-19,maeneo mengine utayaendeshaje!? Jielimishe acha kukimbilia chuki za kijinga! Rais Magufuli alishakufa kubali hilo na kazi iendelee!
 
Zile zilikuwa mbwembwe tu makusanyo na deni la taifa vitu viwili tofauti.
 
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
Nchi Sio NGUMU Viongozi tulionao ndio WAGUMU

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Katika kile serikali inachoamini kufufua uchumi ulokwamishwa na janga la UVIKO-19, mapema mwezi ulopita wa August iliandika barua ya kuomba mkopo IMF.

Katika barua hiyo ambayo iliandikwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba na Gavana wa BOT Florens Luoga, serikali imeahidi matumizi mazuri ya mkopo huo na kuainisha maeneo kama elimu, afya, utalii na mfuko wa TASAF.

Serikali ya Tanzania imekuja na mpango uitwao TCRP yaani Tanzania Covid-19 Social Economic and Response Plan ambapo uwingi wa wanafunzi madarasani na ujenzi wa majengo mapya ya madarasa yatapewa kipaumbele, kuboresha huduma za afya, kuongeza huduma za chanjo au vituo vya kutolea chanjo hizo na kuhakikisha dawa za chanjo zinakuwepo kwa wingi pamoja na vifaa vyote vya kusaidia kutibu wagonjwa wa UVIKO-19.

Kwa mujibu wa Bloomberg IMF wamefurahishwa sana na mkakati huo wa Tanzania kurudisha afya ya uchumi wake wa kati iloupata mwezi Julai mwaka 2020.

Tanzania iliingia uchumi wa kati baada ya uchumi wake kukua kwa asilimia 5.8 ambapo makadirio yalikuwa ni asilimia 6.6

Ikiwa ni moja ya nchi ziloathirika kiuchumi Tanzania iliathirika kwenye sekta za utalii na uwezekaji wa moja kwa moja au FDI kutokana na baadhi ya sera zake kubadilika khasa katika sekta ya madini.

Serikali imekuja na mipango thabiti ya kujikoa kutoka kwenye janga hilo la UVIKO-19 kwa kuweka tozo mbalimbali je, tozo hizo hazitoshi kwa matumizi ya angalau maeneo mawili kwa kuanzia?

Lakini kitendo hicho cha kuomba fedha huku na kule ilhali kwa miaka mitano ilopita tuliweza kukusanya kodi ya kwango hichohicho cha mkopo yaani dola milioni 600 ni uthibitisho kuwa watanzania tuna matatizo makubwa.

Je, twashindwa kusema tunatumia kila baada ya miezi kadha kununua dawa za chanjo kutoka kiwandani kwenyewe.

Je, vipi kama leo serikali ikisema italipa shilingi milioni 500 kununua dawa za chanjo kwa wanohitaji na kutuma ndege kuchukua dawa hizo iwe ni Ujerumani au wapi twashindwa kweli?

je, twashindwa kupanga bajeti ya kulipia wanafunzi kwenye mpango wa elimu bure, ujenzi wa madarasa na miundombinu yote muhimu?

Leo eti watu waketi chini kuandika barua ya kuomba mkopo IMF mkopo ambao ni sawa na makusanyo ya kodi kwa mwezi na zaidi!

Hivi tuko vipi?

Ama kweli, nchi hii ni ngumu.
ILIWADHUMU NA KUWANYANGANYA FEDHA WAFANYABIASHARA MATAJIRI WALIPORWA FEDHA NI MFUMO WA UPATAJI WA FEDHA ULIKUQA UNAKWENDA KUGONGA MWAMBA NA SIO ENDELEVU
 
Serikali iliyopita ilitawaliwa na propaganda, wakati ambao wengi walikuwa wakifunga biashara zao, wao wanakuja na uongo ndio maana mwishowe ukawashinda wakaacha kutoa takwimu za mapato kila mwezi.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom