crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,951
Hii post imekaa zaidi kama kilio cha wezi wa zamani.Nakumbuka ukaguzi wa halmashauri moja mahesabu yalionyesha ndizi moja ilinunuliwa kati ya elfu 5 na elfu 7, lkn utaratibu wote ulifuatwa na signature zote zilikuwepo, huo ndio wizi wa akili bila kutumia nguvu wala ubabe.