johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,335
Tunakumbushana tu kwamba serikali ya awamu ya 5 ndio iliufikisha uchumi wa nchi kwenye Kiwango cha kidogo cha Kati
Na pia Rais wa JMT awamu ya 6 ilimpendeza kumteua Waziri wa fedha wa awamu ya 5 kuwa Makamu wake
Mungu wa mbinguni awabariki
Na pia Rais wa JMT awamu ya 6 ilimpendeza kumteua Waziri wa fedha wa awamu ya 5 kuwa Makamu wake
Mungu wa mbinguni awabariki