Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,023
- 71,229
Wakati Mataifa ya watu US, Uingereza, Ujeruman, Israel yakiendelea kuwataka RAIA wake watoke Ukraine.
Ni wazi pia kuna Watanzania walioko Nchini Ukraine kimakazi, kikazi, kimasomo n.k
Mnawasaidiaje sasa, Hasa kwenye kipindi hiki cha mgogoro mkubwa ambao muda wowote Vita inaweza kutokea?
Au ndo tunaenda na Chifu Hangaya tuuze Gesi et eeehhh yaan Rais mzima wa nchi alichoona kwanza ni kuuza Gesi, ila hajawaza Watanzania waliotwama huko?
Sisikii hata Matamko yakuwataka Watanzania walioko huko kufanya Hatua kadhaa.
Hii nchi ya kijinga kweli, Viongozi Bogasi kabisa, na ndio maana akina Ben Saanane wanapotea, akina Azory wanapotea na hamna wa kujali!
Yaani kwa Viongozi wa Tanzania, Raia ni MTU wa mwisho kufikiriwa!
Nisaidieni ,au Mimi huku niliko ndo sina taarifa?
Shame on you!
Ni wazi pia kuna Watanzania walioko Nchini Ukraine kimakazi, kikazi, kimasomo n.k
Mnawasaidiaje sasa, Hasa kwenye kipindi hiki cha mgogoro mkubwa ambao muda wowote Vita inaweza kutokea?
Au ndo tunaenda na Chifu Hangaya tuuze Gesi et eeehhh yaan Rais mzima wa nchi alichoona kwanza ni kuuza Gesi, ila hajawaza Watanzania waliotwama huko?
Sisikii hata Matamko yakuwataka Watanzania walioko huko kufanya Hatua kadhaa.
Hii nchi ya kijinga kweli, Viongozi Bogasi kabisa, na ndio maana akina Ben Saanane wanapotea, akina Azory wanapotea na hamna wa kujali!
Yaani kwa Viongozi wa Tanzania, Raia ni MTU wa mwisho kufikiriwa!
Nisaidieni ,au Mimi huku niliko ndo sina taarifa?
Shame on you!