mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Nchi yetu imepita kwenye mabadiliko makubwa sana ndani ya miaka sita.
Kumekua na mageuzi makubwa sana kiutawala na kiuchumi tangu 2015.
Kukataa kwamba mfumo uliokuwepo kabla ya 2015 ulishavunjwa na hauwezi kurudishwa ni kujidanganya, kinachotakiwa ni sasa ni kutembea na mabadiliko kwa serikali na idara zake kufanya kazi na sekta binafsi ili kuhakikisha ndani ya awamu hii kunakua na uwekezaji mkubwa wa wazawa na wageni ili kuongeza pato la taifa
Ninachosikitika ni kwamba Serikali yetu kupitia vyombo vyake ikiwa ni pamoja Wizara, Halmashauri zetu, agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS) mmekua kikwazo kikubwa kwa uwekezaji na ukuaji wa uchumi wa nchi hii. Kwa maneno mengine ni kwamba Vyombo vya serikali vimegeuka kuwa wahujumu uchumi namba1 wa juhudi za Rais kwenye kukuza uchumi wa nchi
Wawekezaji wengi sana wa nje na ndani wana mitaji yao na wamekua wakifuatilia vibali kwenye vyombo husika kwa zaidi hata ya mwaka MaWizara, Halmashauri zetu, Agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS).
TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS vimejawa usumbufu mkubwa na huduma mbovu sana kwa wateja na vikwazo vinavyochochea wawekezaji kuchoka, kukata tamaa na hata kughairi kuendelea na taratibu za uwekezaji kwenye nchi yetu.
Kuna wakati huwa najiuliza hivi wahusika ambao ni watendaji wa umma wanajua wanajua zinakotoka stahiki zao, ikiwa ni pamoja office, mahitaji ya office, mishahara yao na posho?
Hivi hawa wanajua bila kuwasaidia wawekezaji kwa kuwapa vibali na support wanakwamisha hata uendeshaji wa serikali?
Enyi TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS.. kwanini mnahujumu juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan?
Kwanini mnahujumu ukuaji wa uchumi wa nchi yetu?
Au mnataka kila siku tuwe tunakuja kulalamikia matendo yenu huku mitandaoni?
Hivi mnapokua humo maofisini mwenu mnafikiri nyie tuu ndio mnastahili kuwepo humo? Mlishawahi kujiuliza ni watu wangapi humu mtaani hawana ajira na wana uwezo wa kufanya hayo majukumu yenu kwa ubora zaidi ya mnachokifanya?
Rais wetu Samia Suluhu Hassan amesema mwaka huu watumishi wa umma hawawezi kuongezwa mshahara na kuahidi mwakani atajitahidi kufanya hivyo. Je, mna nia ya dhati kuhakikisha mnamsaidia Rais kutimiza ahadi yake?
Rais wetu anapambana kutekeleza miradi mikubwa, huduma za kijamii na mambo mengine mengi ikiwa ni pamoja kuhakikisha mna mazingira mazuri kwenu na ya kuhudumia wateja wenu. Basi kuwenu na shukrani walau kwa kufanya kazi kwa uhakika na kwa wakati.
Kumekua na mageuzi makubwa sana kiutawala na kiuchumi tangu 2015.
Kukataa kwamba mfumo uliokuwepo kabla ya 2015 ulishavunjwa na hauwezi kurudishwa ni kujidanganya, kinachotakiwa ni sasa ni kutembea na mabadiliko kwa serikali na idara zake kufanya kazi na sekta binafsi ili kuhakikisha ndani ya awamu hii kunakua na uwekezaji mkubwa wa wazawa na wageni ili kuongeza pato la taifa
Ninachosikitika ni kwamba Serikali yetu kupitia vyombo vyake ikiwa ni pamoja Wizara, Halmashauri zetu, agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS) mmekua kikwazo kikubwa kwa uwekezaji na ukuaji wa uchumi wa nchi hii. Kwa maneno mengine ni kwamba Vyombo vya serikali vimegeuka kuwa wahujumu uchumi namba1 wa juhudi za Rais kwenye kukuza uchumi wa nchi
Wawekezaji wengi sana wa nje na ndani wana mitaji yao na wamekua wakifuatilia vibali kwenye vyombo husika kwa zaidi hata ya mwaka MaWizara, Halmashauri zetu, Agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS).
TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS vimejawa usumbufu mkubwa na huduma mbovu sana kwa wateja na vikwazo vinavyochochea wawekezaji kuchoka, kukata tamaa na hata kughairi kuendelea na taratibu za uwekezaji kwenye nchi yetu.
Kuna wakati huwa najiuliza hivi wahusika ambao ni watendaji wa umma wanajua wanajua zinakotoka stahiki zao, ikiwa ni pamoja office, mahitaji ya office, mishahara yao na posho?
Hivi hawa wanajua bila kuwasaidia wawekezaji kwa kuwapa vibali na support wanakwamisha hata uendeshaji wa serikali?
Enyi TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC, TBS.. kwanini mnahujumu juhudi za Rais wetu Samia Suluhu Hassan?
Kwanini mnahujumu ukuaji wa uchumi wa nchi yetu?
Au mnataka kila siku tuwe tunakuja kulalamikia matendo yenu huku mitandaoni?
Hivi mnapokua humo maofisini mwenu mnafikiri nyie tuu ndio mnastahili kuwepo humo? Mlishawahi kujiuliza ni watu wangapi humu mtaani hawana ajira na wana uwezo wa kufanya hayo majukumu yenu kwa ubora zaidi ya mnachokifanya?
Rais wetu Samia Suluhu Hassan amesema mwaka huu watumishi wa umma hawawezi kuongezwa mshahara na kuahidi mwakani atajitahidi kufanya hivyo. Je, mna nia ya dhati kuhakikisha mnamsaidia Rais kutimiza ahadi yake?
Rais wetu anapambana kutekeleza miradi mikubwa, huduma za kijamii na mambo mengine mengi ikiwa ni pamoja kuhakikisha mna mazingira mazuri kwenu na ya kuhudumia wateja wenu. Basi kuwenu na shukrani walau kwa kufanya kazi kwa uhakika na kwa wakati.
Utopolo mmoja yupo pale Brela Anaitwa Nyaisa sijui hapa mama anategemea Nini!! Ondoa hizo takataka weka watu wanaoijua biashara na maana yake sio huyo boharia wa magereza unampeleka Brela kuweni serious kidogo basi