Ndugu zangu habari za leo!!!Napenda kufahamishwa kuhusu lile kampuni ya NICOL ambayo ilianza kwa nguvu kubwa mbona sijaisikiia teena!!!!
typical wabongo, mnafikiria success inakuja over a night! yanayotokea NICOL ni kawaida kwa makampuni mengi tu EA na hata duniani! inaonyesha watu wana agenda zao dhidi ya NICOL ila sishangai kinachotokea ukiangalia wnalipa kodi wakati biashara za kigeni zina misamaha ya kodi! kama Barrick goldhivi kampuni ni kijiwe cha wazee wanaojiita SENIOR CITZEN. kwa sasa mwelekeo wa kampuni ni wa kusuasua sana kwani hata CMSA wameonyeshaa wasiwasi na utendaji wa kampuni hii ambayo ipo DSE.
Jamani hivi hatuwezi hata kuiga kaufanisi ka TRANSCENTURY ya majairani zetuuu??? vijana tuwe mabadilko sahihi kwani hawa wazee wanategemeaa kubebwaa tuu na sio kazii
Jamani kama kuna mtu anafikiria kuhusu NICOL namshauri aanze kusahau, inaelekea kufa kabisa, Kiwanda cha Madawa Moshi kiko chini ya mufilisi, kiwanda cha samaki Mwanza kimesimama kwa karibu mwaka sasa na Banki ya ABC wametangaza kukiuza baada ya kushindwa kulipa deni la karibu 5b. Hali ni mbaya, tumeibiwa pesa zetu, pesa pekee salama zilizobaki ni hisa zilizo NMB, basi. Tuangalie mengine tu lakini uhuni uliofanywa na hao wazee unatisha.
Pamoja na ufafanuzi wako Geza Ulole lakini nikiwa kama mwana HISA hakika ukimya umezidi toka kwa viongozi wetu na hata sikumbuki lini nilipata gawio. Unajua siyo wote tunaufahamu unaolingana juu ya uendeshaji wa Kampuni, lakini wengi wetu tulinunua hisa kwa matarajio ya kupata faidi. Sasa hata kama biashara imekwenda alijojo vyema watuhabarishe...