GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
- Thread starter
- #21
Waulizeni Serikali tafadhali waliouhairisha na siyo TFF ya Rais Bora kuwahi kutokea Wallace Karia au kuanza Kuilaumu Timu ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club sawa?Ulifutwa kwa sababu zipi na kanuni zipi?