muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,578
- 1,142
Kwani yanga ndio walitakiwa kuleta refa mle?Unajua kanuni za kumalizwa mchezo? Refa aliyemaliza mchezo alikuwepo? Aliwakagua? Alisubiri dk 15 za kikanuni akawapa ushindi?
Bangi bana
Kwani yanga ndio walitakiwa kuleta refa mle?Unajua kanuni za kumalizwa mchezo? Refa aliyemaliza mchezo alikuwepo? Aliwakagua? Alisubiri dk 15 za kikanuni akawapa ushindi?
Bangi bana
Kanuni inasemaje kama refa hayupo? Mfano timu zote zipo ila refa hayupo au timu moja ipo ila timu nyingine haipo na refa hayupo?Kwani yanga ndio walitakiwa kuleta refa mle?
Simba ilifanya uhuni na Tff kwa nini hamkuleta team uwanjani saa 11 kama wenzenu walivyofanya , na kanuni zinajulikana kwa nini muingizwe king na wanasiasa ilihali sheria za mpira mnazijua.Unajua kanuni za kumalizwa mchezo? Refa aliyemaliza mchezo alikuwepo? Aliwakagua? Alisubiri dk 15 za kikanuni akawapa ushindi?
Bangi bana
Ok nyie mnaojua kanuni mbona mnapigwa fine kila siku? Hilo swali waulize serikali. Tff iko chini ya wizara (serikali) na walitoa agizo unadhani TFF wangewadindia? Unadhani ni suala la mpira tu pale taifa? Kuna usalama na mengineyo. TFF wana vyombo vyao kulinda usalama. Unadhani serikali n tff hawana muingiliano, unadhani hawategeneani. Hebu shirikisheni ubongo wenu kwenye hili. Halafu hizi lawama kwa TFF ni ujinga mtupu. Hivi unadhani TFF wangeweza kuwataja hadharani wizara kama maamuzi hayakutoka wizarani? Issue ni kuhoji serikali kama kuna mamlaka hayo?Simba ilifanya uhuni na Tff kwa nini hamkuleta team uwanjani saa 11 kama wenzenu walivyofanya , na kanuni zinajulikana kwa nini muingizwe king na wanasiasa ilihali sheria za mpira mnazijua.
Kwani lazima mcheze na Yango ndo mridhike, si iteni timu nyingine mcheze nayo, waachen Yanga na mambo yao
TFF yenu ndo inavuruga soka la TZ, angalia mizengwe tu ya uchaguzi ndo utaelewa TFF ndo wavurugaji wa kila ktu. sasa mnatafuta kuhamisha lawama kwa Yanga.
Toeni kwanza maamuzi zile kesi 7 za Yanga mlizokumbatia ndo mechi itachezwa, vinginevyo tafuteni wa kucheza naye
Kwani lazima mcheze na Yango ndo mridhike, si iteni timu nyingine mcheze nayo, waachen Yanga na mambo yao
masuala ya simba na yanga huwa yanajadiliwa bila kutumia akili mara nyingi, mfano ni hii hoja juu
Akifungiwa Yanga, Simba atacheza na nani?Yanga wasipo ingiza timu safari hii basi wajue huo ndio mwisho wao, watafungiwa bila kujali, na watapigwa faini juuu.
kwa hiyo wasithubutu kusikiliza maneno ya waganga. Waache kabisa.
Msiwatishie Yanga, kuwa TFF iko chini ya Serikali, hii sio kweli.Ok nyie mnaojua kanuni mbona mnapigwa fine kila siku? Hilo swali waulize serikali. Tff iko chini ya wizara (serikali) na walitoa agizo unadhani TFF wangewadindia? Unadhani ni suala la mpira tu pale taifa? Kuna usalama na mengineyo. TFF wana vyombo vyao kulinda usalama. Unadhani serikali n tff hawana muingiliano, unadhani hawategeneani. Hebu shirikisheni ubongo wenu kwenye hili. Halafu hizi lawama kwa TFF ni ujinga mtupu. Hivi unadhani TFF wangeweza kuwataja hadharani wizara kama maamuzi hayakutoka wizarani? Issue ni kuhoji serikali kama kuna mamlaka hayo?
One of the best ridiculous Comment from Yanga SC Fan.Akifungiwa Yanga, Simba atacheza na nani?
Wrong wrong.One of the best ridiculous Comment from Yanga SC Fan.
TFF Kikatiba ( ya nchi ) iko chini ya BMT na BMT iko chini ya Wizara ya Michezo na Wizara ya Michezo ni sehemu ya Serikali sasa utasemaje kuwa TFF haiwajibiki kwa Serikali?Msiwatishie Yanga, kuwa TFF iko chini ya Serikali, hii sio kweli.
How comes iwe na Rais?
Rais wa TFF unajua mamlaka yake?
I like and enjoy your ' Stupidness ' on JF.Wrong wrong.
I am not.
Du kumbe wewe mtukanaji?I like and enjoy your ' Stupidness ' on JF.
I do that When I meet 'Morons' like you.Du kumbe wewe mtukanaji?
pgpa0 cha ajabu kwenye ligi msimu uliopita yanga wameshinda mechi moja na kudroo moja dhidi ya simba.. hapo jiulize kati ya yanga na simba ipi ni timu boraSasa hata wakipewa points watakuwa mabingwa? Yanga jitafakarini,timu yenu imeyumba na si ya kishindani tena ipo ipo tu.Na hii ni janja ya kuogopa kucheza na simba ambayo ikiamua kisema ngoja leo tupiiiige hawa ni mtachezea kichapo balaa
Unajua nikisema chini ya serikali nina maana gani? Kama hujui uliza.Msiwatishie Yanga, kuwa TFF iko chini ya Serikali, hii sio kweli.
How comes iwe na Rais?
Rais wa TFF unajua mamlaka yake?
Kwa kuwa tunafuata kanuni ndio mana huwa tunalipa!Ok nyie mnaojua kanuni mbona mnapigwa fine kila siku? Hilo swali waulize serikali. Tff iko chini ya wizara (serikali) na walitoa agizo unadhani TFF wangewadindia? Unadhani ni suala la mpira tu pale taifa? Kuna usalama na mengineyo. TFF wana vyombo vyao kulinda usalama. Unadhani serikali n tff hawana muingiliano, unadhani hawategeneani. Hebu shirikisheni ubongo wenu kwenye hili. Halafu hizi lawama kwa TFF ni ujinga mtupu. Hivi unadhani TFF wangeweza kuwataja hadharani wizara kama maamuzi hayakutoka wizarani? Issue ni kuhoji serikali kama kuna mamlaka hayo?
Wewe ni layman wa soka. Kashabikie darts au karate au judo. Soka achana naloKwa kuwa tunafuata kanuni ndio mana huwa tunalipa!