Lukonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,321
- 1,782
Unajua siku hizi unapimwa kimya kimya kwa ambao hawapimi wanarekodi kila hospital
Hapa niko hospitali, hakuna hiyo sera.
Hakuna kitabu cha kuandika waliopima randomly na kwenda nyumbani.
Kama ni baadhi ya hospitali then data siyo halisia ni makadilio.