kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mimi nilifanikiwa kuishi nchini Uingereza kwa about 23 yrs nikisoma lakini pia nikitafuta mchongo wa ajira. Baadaye nilifanya attempt ya kupata uraia nikakwama. Lakini nawafahamu watoto wa vibosile ambao kwa influence ya wazazi wao na wengine juhudi binafsi walipata uraia Wa Uingereza, Canada, Australia,USA na Ufaransa.
Wengi wa vijana hawa baada ya kutokea mtetemeko mkubwa wa masuala ya ugaidi na kupungua kwa fursa za uchumi kwenye Mataifa hayo ya majuu waliamua kurejea nyumbani nakuendeleza michongo yao hapa.
Most of watoto wa wadosi na waadhiri wa vyuo awakuwa na mchongo wa biashara maana familia zao ziliwalinda kwa pocket money. Sisi wengine tukakomaa na kujichanganya mtaani upate chochote.
Michongo mingi ya business nilkuwa napata kutoka kwa wenzetu Wasomali, wao ilikuwa rahisi kupata ukimbizi na Uraia lakini pia walikuwa na michongo ya fedha kutoka angle mbalimbali.
Kati ya mwaka 1998 Hadi 2014 jamaa zangu wa Somali waliwahamasisha sana ndugu zao kuja Tz kukimbia mazingira ya nyumbani kwao. Nakumbuka Mimi pekee nilikua linked na zaid ya familia 20 ambazo most of relatives walikuwa wanaishi bongo hasa sabasaba, Temeke na Buguruni. Ilikuwa ukija Tz lazima utumwe maujumbe mengine ya pesa ulete kwa ajili ya familia za Hawa jamaa.
Baada ya life kuwa ngumu na kwa kuzingatia maisha yalivyokuwa nje nilirejea nchini nikaanza kupiga kazi na clearing and foward company nyingi zikiwa nafanya nazo michongo ya kuingiza magari ya jamaa wa kisomali waliopo Tanzania.
Nimekaa hapa bongo napiga michongo hiyo nilipopata mtaji nikaamua kufungua ofisi yangu bandarini yakuclear mizigo. Hapa ninakutana na washkaji kibao waoniletea kazi au kuchukua mzigo kwao au tunaouziana kazi.
Kwanini nimeandika hii story, nimepata wasiwasi na namna michongo inavyokwenda hasa kuhusu uraia wa Tanzania. Kwa sababu zifuatazo;
1. Washakaji wote waliopata Uaraia kule ugenini wakarudi hapa nchini naona wanatumia pasipoti za Tanzania. Juzi nimemwona dada mmoja mwanza mwanasiasa akipanda ndege kuja dar, huyo sister na brother wake najui ni waingereza ila yeye wakati anachek in alitoa pasipoti ya Tanzania Kama kitambulisho nikashtuka. Lakini pia washkaji wenge wapo UDSM, Muhimbili, BoT, Bugando na Hazina waliobadili uraia nawaona wanatumia pasipoti za Tanzania? Je wanazipata kihalali au wanaficha pasipoti za nje nakubaki kujitambulisha kama wabongo?
2. Bora kwa Hawa Watanzania niliowataja hapo juu kidogo tunaweza kusema niwataftaji, lakini lipo kundi la wale jamaa waliokuwa wanapewa fedha na ndugu zao waliopo nje nakuingia Tanzania Kisha kufikia kwa ndugu zao Temeke, Buguruni, Karikoo na mtongani. Hawa ni wale Wasomali ambao ndugu zao wanapesa nje, nimeshtushwa kuona nao wanakampuni za usafirishaji mizigo Kama Watanzania na wengi wao Wana miliki magari makubwa ya mizigo kwenda Kenya.
Jamaa mmoja ambaye nakumbuka wakati namletea fedha na zawadi kutoka kwa ndugu zao kipindi hicho anafanya kazi za utingo Sasa hivi naona anamiliki hadi pasipoti za Tanzania. Nilipomdadasi nikagundua majina anayotumia siyo yale ya kipindi kile anatumia majina tofauti yote akitumia majina ya mzee aliyekuwa mwenyeji wake kipindi hicho.
Nimeandika uzi huu Kwanza kuwafungua macho ndugu zangu kwamba hii ni nchi yetu, tusipowafichua hawa watu sisi ndio tunakosa ajira na nafasi nyeti wanapewa wao kwa sababu kwa kundi la Kwanza wazazi wao ni wanasiasa wakubwa, maprofesa na madaktari ambao kwa vyoyote majina yao yanawabeba watoto wao.
Pili kwa hili kundi la pili lazima mamlka zinazohusika wakague upya kuona watu wanasajili Kampuni hapa ni Watanzania? Kama siyo Watanzania kwanini wakwepe kodi zinazotakiwa kulipwa na wageni? Lakini pia fedha wanazozalisha hapa nchini wanaziacha hapa au wanazisafirisha nje? Je, wanapodanganya kwamba ni Watanzania wakati siyo Watanzania familia zinazowahifadhi nakuwaruhusu watumie majina yao wanafanywa Nini?
Uingereza walipobaini nimedanganya kuhusu nyaraka zangu waliniburn nisikanyage kwao, kwanini hawa Wageni sisi tusiwashugulikie Kama Mataifa mengine yanavyofanya? Kwanini mtu asiye Mtanzania na ambaye hata lafudhi inamsuta, Hana historia yakusoma Tanzania Wala kuzaliwa kwanini adanganye mamlaka tuwaache?
Aiwezekani wale niliokuwa nawaletea zawadi au salamu kutoka nje huko kupitia ndugu zao miaka mitano Hadi kumi nyuma tayari wameomba Uaraia vinginevyo Basi kupata Uraia wa Tanzania itakuwa rahisi sana. Mamlaka wamulikeni Hawa watu kwenye Utumishi wa Umma uzuri mna CV zao na awakubadilisha majina usema amwezi kuwapata, lakini mulikeni kundi la jamii ya Wasomali waliojipachika kwenye familia nakuwachafua Wasomali ambao ni Raia wa Tanzania.
Wengi wa vijana hawa baada ya kutokea mtetemeko mkubwa wa masuala ya ugaidi na kupungua kwa fursa za uchumi kwenye Mataifa hayo ya majuu waliamua kurejea nyumbani nakuendeleza michongo yao hapa.
Most of watoto wa wadosi na waadhiri wa vyuo awakuwa na mchongo wa biashara maana familia zao ziliwalinda kwa pocket money. Sisi wengine tukakomaa na kujichanganya mtaani upate chochote.
Michongo mingi ya business nilkuwa napata kutoka kwa wenzetu Wasomali, wao ilikuwa rahisi kupata ukimbizi na Uraia lakini pia walikuwa na michongo ya fedha kutoka angle mbalimbali.
Kati ya mwaka 1998 Hadi 2014 jamaa zangu wa Somali waliwahamasisha sana ndugu zao kuja Tz kukimbia mazingira ya nyumbani kwao. Nakumbuka Mimi pekee nilikua linked na zaid ya familia 20 ambazo most of relatives walikuwa wanaishi bongo hasa sabasaba, Temeke na Buguruni. Ilikuwa ukija Tz lazima utumwe maujumbe mengine ya pesa ulete kwa ajili ya familia za Hawa jamaa.
Baada ya life kuwa ngumu na kwa kuzingatia maisha yalivyokuwa nje nilirejea nchini nikaanza kupiga kazi na clearing and foward company nyingi zikiwa nafanya nazo michongo ya kuingiza magari ya jamaa wa kisomali waliopo Tanzania.
Nimekaa hapa bongo napiga michongo hiyo nilipopata mtaji nikaamua kufungua ofisi yangu bandarini yakuclear mizigo. Hapa ninakutana na washkaji kibao waoniletea kazi au kuchukua mzigo kwao au tunaouziana kazi.
Kwanini nimeandika hii story, nimepata wasiwasi na namna michongo inavyokwenda hasa kuhusu uraia wa Tanzania. Kwa sababu zifuatazo;
1. Washakaji wote waliopata Uaraia kule ugenini wakarudi hapa nchini naona wanatumia pasipoti za Tanzania. Juzi nimemwona dada mmoja mwanza mwanasiasa akipanda ndege kuja dar, huyo sister na brother wake najui ni waingereza ila yeye wakati anachek in alitoa pasipoti ya Tanzania Kama kitambulisho nikashtuka. Lakini pia washkaji wenge wapo UDSM, Muhimbili, BoT, Bugando na Hazina waliobadili uraia nawaona wanatumia pasipoti za Tanzania? Je wanazipata kihalali au wanaficha pasipoti za nje nakubaki kujitambulisha kama wabongo?
2. Bora kwa Hawa Watanzania niliowataja hapo juu kidogo tunaweza kusema niwataftaji, lakini lipo kundi la wale jamaa waliokuwa wanapewa fedha na ndugu zao waliopo nje nakuingia Tanzania Kisha kufikia kwa ndugu zao Temeke, Buguruni, Karikoo na mtongani. Hawa ni wale Wasomali ambao ndugu zao wanapesa nje, nimeshtushwa kuona nao wanakampuni za usafirishaji mizigo Kama Watanzania na wengi wao Wana miliki magari makubwa ya mizigo kwenda Kenya.
Jamaa mmoja ambaye nakumbuka wakati namletea fedha na zawadi kutoka kwa ndugu zao kipindi hicho anafanya kazi za utingo Sasa hivi naona anamiliki hadi pasipoti za Tanzania. Nilipomdadasi nikagundua majina anayotumia siyo yale ya kipindi kile anatumia majina tofauti yote akitumia majina ya mzee aliyekuwa mwenyeji wake kipindi hicho.
Nimeandika uzi huu Kwanza kuwafungua macho ndugu zangu kwamba hii ni nchi yetu, tusipowafichua hawa watu sisi ndio tunakosa ajira na nafasi nyeti wanapewa wao kwa sababu kwa kundi la Kwanza wazazi wao ni wanasiasa wakubwa, maprofesa na madaktari ambao kwa vyoyote majina yao yanawabeba watoto wao.
Pili kwa hili kundi la pili lazima mamlka zinazohusika wakague upya kuona watu wanasajili Kampuni hapa ni Watanzania? Kama siyo Watanzania kwanini wakwepe kodi zinazotakiwa kulipwa na wageni? Lakini pia fedha wanazozalisha hapa nchini wanaziacha hapa au wanazisafirisha nje? Je, wanapodanganya kwamba ni Watanzania wakati siyo Watanzania familia zinazowahifadhi nakuwaruhusu watumie majina yao wanafanywa Nini?
Uingereza walipobaini nimedanganya kuhusu nyaraka zangu waliniburn nisikanyage kwao, kwanini hawa Wageni sisi tusiwashugulikie Kama Mataifa mengine yanavyofanya? Kwanini mtu asiye Mtanzania na ambaye hata lafudhi inamsuta, Hana historia yakusoma Tanzania Wala kuzaliwa kwanini adanganye mamlaka tuwaache?
Aiwezekani wale niliokuwa nawaletea zawadi au salamu kutoka nje huko kupitia ndugu zao miaka mitano Hadi kumi nyuma tayari wameomba Uaraia vinginevyo Basi kupata Uraia wa Tanzania itakuwa rahisi sana. Mamlaka wamulikeni Hawa watu kwenye Utumishi wa Umma uzuri mna CV zao na awakubadilisha majina usema amwezi kuwapata, lakini mulikeni kundi la jamii ya Wasomali waliojipachika kwenye familia nakuwachafua Wasomali ambao ni Raia wa Tanzania.