Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Hii ya moto aise.🚶🚶Tunatafuta connection mkuu😅
Hii ya moto aise.🚶🚶Tunatafuta connection mkuu😅
Ebu na sisi tuzioneWizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan zinazosambazwa mitandaoni zikimwonesha akiwa kwenye vivutio mbalimbali vya utalii, sio rasmi na hazina kibali cha serikali. Wizara imewaonya wote wanaohusika na kuwataka waache mara moja.
Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan zinazosambazwa mitandaoni zikimwonesha akiwa kwenye vivutio mbalimbali vya utalii, sio rasmi na hazina kibali cha serikali. Wizara imewaonya wote wanaohusika na kuwataka waache mara moja.
Mbona hawazungumzii Ile wa Mnz akisimikwa Uchifu?? Katika historia ya Tanz haijawahi kuwa na Chifu mwanamke. Huku kwetu Masaini haiwezekani mwanamke akakabidhiwa Ile rungu nyeusi ya Malagwanani.Watu wameanza kuzikosoa ndio shida.Mi naona wanawasaidia wazirekebishe na si kuzuia watu kusambaza hizo picha wakati wao ndio walizitoa
Wamasai wenyewe wa siku hizi wanashinda saluni wakisuka dada zetu tu,nao Ni Kama wanawake tu siku hiziMbona hawazungumzii Ile wa Mnz akisimikwa Uchifu?? Katika historia ya Tanz haijawahi kuwa na Chifu mwanamke. Huku kwetu Masaini haiwezekani mwanamke akakabidhiwa Ile rungu nyeusi ya Malagwanani.
kwani wao wanasemajeWizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan zinazosambazwa mitandaoni zikimwonesha akiwa kwenye vivutio mbalimbali vya utalii, sio rasmi na hazina kibali cha serikali. Wizara imewaonya wote wanaohusika na kuwataka waache mara moja.
Yale macho 🖐️Ziko wapi hizo picha?
Twiitaaasijaziona mkuu, hakuna mtu atazileta,ishakua soo
Wanaochukua hilo tukio na kutengeneza movie ni Royal tour
Ni Sawa na filamu zote zinazotengenezwa wakiwa wana shoot huwezi wewe na kikamera chako koko eti upige na kusambaza bila ridhaa yao
Una uelewa mdogo mno
Etiiiiii?Hizi enzi za mitandao serikali zinapata tabu sana kudhibiti taarifa. Meza imepinduka.
Kama hiyo page iliyowekwa hizo picha fake inaendeshwa na wizara basi hiyo tayari ni failure. Mfano iweje watumie photoshop kwa kubandika picha hiyo hiyo moja ya rais kwenye maeneo matatu tofauti?View attachment 1929857
Wanasema hawa waliotengeneza na kusambaza picha za Mhe. Rais eti hii sio page inayoendeshwa na Wizara ya Utalii? hawa @tzbranding si ndio wana brand ma ROYAL TOUR na Mambo ya Utalii wamewakana leo
Mhmm!itakuwa ile picha ya lifejacket iliyombana imewakasirisha
......siku hizi kila mwenye smartphone ni mwanahabari wa kujitegemea.....Kwani hao wanao zisambaza hizo picha wanazitoa wapi?