beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Kufuatia malalamiko ya Watanzania kudhulumiwa wanapojaribu kununua magari mtandaoni, kutotumiwa kwa wakati na kutumiwa magari yasiyo na sifa, Ubalozi wa Tanzania nchini Japan umewataka wafanye uchunguzi kabla ya kutuma fedha
Umesema ni vigumu kwa fedha ambazo zimeshatumwa kurejeshwa kutokana na Sheria za nchini humo kwani Mamlaka huanzisha shauri dhidi ya mtu/kampuni iliyokiuka mkataba na sio ankara za malipo ambazo wengi huwa nazo
Aidha, Watanzania wanaoagiza magari wametakiwa kutembelea tovuti zaidi ya moja wanapotaka kufanya hivyo ili kufahamu bei za wastani za magari
Umesema ni vigumu kwa fedha ambazo zimeshatumwa kurejeshwa kutokana na Sheria za nchini humo kwani Mamlaka huanzisha shauri dhidi ya mtu/kampuni iliyokiuka mkataba na sio ankara za malipo ambazo wengi huwa nazo
Aidha, Watanzania wanaoagiza magari wametakiwa kutembelea tovuti zaidi ya moja wanapotaka kufanya hivyo ili kufahamu bei za wastani za magari