...............................cha ajabu hawatopata mimba kabisaaa saivi wanaenda kwa mpalange mimba wapate saa ngapi
 
Hiv hawa mabeberu kweli wameona Elimu yetu haina maana ndio maana wanaleta hili ili kila ktu kizd kuharbika

Tz ya Viwanda yangu
 
Ulimuona nani katandikwa miaka 30? Jela hufungwa makapuku wenye nazo wanapeta tu.
Sabaya kapuku? Nyie endeleeni kujidanganya and muwadunge Mimba hao watoto ndipo utajua kama jela ni ya makapuku au walizonazo
 
anaepinga waliozaa kurudi masomoni hana akili timamu,

over mjadala uishie hapa
 
Magufuli angejua angekufa angekuwa na wema kiasi kwa Wapinzani. Huyu Prof. Joyce amesahau yule mzee alijitoa kwa hali na mali juu yake sasa hivi wote wamemgeuka kuanzia uvaaji wa barakoa mpaka mengine. Ni fundisho kubwa. Nisalimieni Kabudi.
 
Wewe unataka mzazi aue mwanae kwasababu kamletea wajukuu?
Au unataka mzazi achukie na akatae mwanae kuendelea na masomo?
Nina mabinti wawili. Najitahidi sana niwalee katika misingi bora ili nao wawe wazazi bora hapo baadae.

Nikuulize. Ushawahi kusikia binti wa kizungu kapata mimba shuleni, akaenda kujifungua halafu akarudi kuendelea na masomo? Je, unajua programme hii huko Marekani ni kwa ajili ya African Americans na Latinos tu? Kwanini?
 
Yes na adhabu ya miaka 30 kwa kijana aliyempa mimba mwanafunzi inabidi ifikiriwe zaidi, ikiwezekana isiwepo kabisa
Acha kupromote ubakaji we kolo, mashabiki wa Simba mbona mnapenda sana mambo ya ovyo?
 
Hii nchi hakuna tunachosimamia in aliye ikulu anatakaje na anawazaje!!
Sera muhimu hivi inaamuliwa na MTU mmoja kweli!!
Ukipata rais katili anaumiza waloumizwa bila sababu.
 
wanafunzi wengi walio mashuleni wanajilinda kwa hali na mali ili wasipate ujauzito kwa sababu wanafahamu fika endapo itatokea hivyo basi shule hakuna, ila kwa hii hali ya sasa, hutaona matokeo yake kwa sasa, kwani waliopo bado wana hiyo mentality ila miaka kadhaa ijayo ambako watakuja wapya wenye ufahamu kuwa hata nikipata mimba shule ipo kama kawa. basi tarajia mengi zaidi.

Anyways, taifa linahitaji nguvu kazi maana hata Mzee Baba alivyosema tuzaliane hao hao walipinga, sasa kwa wanafunzi kama ni shwari, basi yote kheri.
 
Habari hii imfikie mzee bulembo na chawa wote wa lumumba hasa
Magonjwa mtambuka
Jinga jinga lao
Comte
Crimea
Stoke
Na chawa wote mpo .safi sana hii
 
Nina mabinti wawili. Najitahidi sana niwalee katika misingi bora ili nao wawe wazazi bora hapo baadae.

Nikuulize. Ushawahi kusikia binti wa kizungu kapata mimba shuleni, akaenda kujifungua halafu akarudi kuendelea na masomo? Je, unajua programme hii huko Marekani ni kwa ajili ya African Americans na Latinos tu? Kwanini?
Tujifunze Kenya, tujifunze Malawi, tujifunze Gabon nk ,,
Tusikomaze shingo wakati hatujawai kujalibu.
 
Najua kuna watu humu wamelelewa kwa mijeredi,, - habari hii kwao ni ngumu kueleweka.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom