Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi/Sekondari watakaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia watapewa nafasi ya kurejea Shuleni katika mfumo rasmi “leo leo natoa waraka zege halilali"

Millard Ayo
GOOD MOVE yeyote anayetaka kwenda shule aenda na asome kwa bidii hata akama ananyonyesha.Tumechelewa sana
 
Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi/Sekondari watakaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia watapewa nafasi ya kurejea Shuleni katika mfumo rasmi “leo leo natoa waraka zege halilali"

Taratibuuu mtaelewa tuu.. Yaani miaka mitano hii nchi iliendeshwa kihuni mnoo.. Hapa ndipo hitaji la katiba mpya linapo onekana. Sio mnaendesha nchi kama chumba cha wageni.
 
Nafikiri sera ya elimu nazo zitabadilishwa ili kutoa ruhusa ya Mama mwanafunzi kupewa ruhusa ya kwenda kunyonyesha au kuja na yaya wao shuleni hii ni kwa ajili ya welfare ya mtoto na haki ya mtoto ambazo hazijali mama kaolewa, ni mfanyakazi, mwanafunzi au hana kazi ila mtoto anahitaji huduma na upendo wa mama na kuondoa adhabu ya viboko kwa mama mwanafunzi
 
Ona wanavyoinajisi nchi. Kwa hiyo tunahalalisha wasichana kuweza kupata mimba shule. Hizi ni pressure za maliberali wa kizungu. Muda si mrefu utaona zile ngo zilizokua zinafunza watoto ushoga kuruhusiwa zirudi.
R. I. P. Magufuli
Tunatumia muda mwingi sana kutetea ujinga.

Haki ya mashoga kupata vilainishi nayo inakuja
 
Viongozi hawa mnaowasifia kucha kutwa kuwa wana maono wakati ni fuata upepo...uje wa shetani au wa Mungu wamo tu. Ajabu prof mzima juzi kasema hili wakati wa JPM na hilohilo kalisema the opposite wakati wa SSH. Mmenikumbusha prof mwingine Kabudi (muungaji katiba mpya wakati wa Kikwete na huyohuyo mpingaji wakati wa JPM na SSH). Kabudi = Polepole=Bashiru! Akatokea Dr Gwajima wa JPM wa tofauti na Gwajima wa SSH juu ya Covid. Nakumbuka Dr Mwakyembe wa serikali 3 kwenye andiko lake la PhD na yule wa serikali 2 wakati wa Kikwete. Hao ni mifano halisi ya nchi yetu kwamba hatuna viongozi tuna wasaka tonge na wafukuza upepo. Wapi kina Waitara na Dr Mollel waliookoka toka CHADEMA to CCM in exchange for cash & political favours kwa maana ya vyeo. Kina speaker Ndugai wa bandari ya bagamoyo wakati wa JPM opposite na wakati wa SSH. Wapo wa priority ya umeme wa maji wakati wa JPM na opposite ya wakati wa Kikwete na SSH wanaotaka gas. Tumwombe Mungu aikoe Tanzania tupate credible leaders otherwise hatuendi popote ndugu zangu, tutalipishwa mikopo mpaka vitukuu. Na la kuogofya zaidi hawa ndio viongozi misikitiki na makanisani wanaonyenyekewa na kupewa priority. Hawa ndio waliojaza watoto wao vitengo vyote nyeti kwamba wawepo na tawala zao unabated. Unless muujiza uje, kama Taifa tutaendelea na mdumange huu. Msiwaamini hawa watu hata siku moja. Tungoje uzao mwingine labda.
Narudia tena, WATANZANIA KUNA KITU HAKIKO SAWA VICHWANI MWETU. Umeandika na kufafanua vyema sana mkuu
 
Hata huyu bibi ushungi ajiangalie sn muda wake ukiisha wanamgeuka haraka sn
Sidhani kama upinduaji meza utakuwa mkubwa kiasi hiki, hata 1 financial year haijamalizika ila meza zinapinduliwa kibabe sanaa!! Huyu tabia chafu zimemponza!! Mwinyi, Mkapa & Kikwete hawakufanyiwa hivi (May be Kikwete alikuwa Victim sababu ya mtu aliyempokea kijiti alikuwa mzee wa visasi)
 
Back
Top Bottom