MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,724
- 4,045
Uamuzi mzuri.
Asiye na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe.
Asiye na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe.
GOOD MOVE yeyote anayetaka kwenda shule aenda na asome kwa bidii hata akama ananyonyesha.Tumechelewa sanaWaziri wa Elimu Prof. Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi/Sekondari watakaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia watapewa nafasi ya kurejea Shuleni katika mfumo rasmi “leo leo natoa waraka zege halilali"
Millard Ayo
SAFI SANA NDALI-CHAKO, FUTA KABISA LEGACY BUTU.Jpm akifufuka leo atahisi alikufa miaka 100 ilopita..mana hii U turn inayopigwa na wapambe zake hawezi amini.
Siasa za bongo bila unafiki huwezi ziishi.
#MaendeleoHayanaChama
Mwaka Jana ilikomenti hivi wewe Boya?SAFI SANA WAZIRI
SAFI SANA SAMIA SULUHU HASSAN
5 inatosha.turudi tulee watoto wetuUnataka mingapi?
Sasa ngoja tuwapige mimba tu maana ni la manyaniWaziri wa Elimu Prof. Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi/Sekondari watakaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia watapewa nafasi ya kurejea Shuleni katika mfumo rasmi “leo leo natoa waraka zege halilali"
Kaka miaka 5 kule ndani usimuliwe tu, bado mingi sana5 inatosha.turudi tulee watoto wetu
Taratibuuu mtaelewa tuu.. Yaani miaka mitano hii nchi iliendeshwa kihuni mnoo.. Hapa ndipo hitaji la katiba mpya linapo onekana. Sio mnaendesha nchi kama chumba cha wageni.Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi/Sekondari watakaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia watapewa nafasi ya kurejea Shuleni katika mfumo rasmi “leo leo natoa waraka zege halilali"
Hata huyu bibi ushungi ajiangalie sn muda wake ukiisha wanamgeuka haraka snHayati Magufuli akifufuka leo atahisi alikufa miaka 100 ilopita..mana hii U turn inayopigwa na wapambe zake hawezi amini.
Siasa za bongo bila unafiki huwezi ziishi.
#MaendeleoHayanaChama
Ukikamatwa 30 inakuhusuHiyo inaitwa fungulia mbwa......ni mwendo wa mimba tuu sasa
Bora 5 kuliko 30Kaka miaka 5 kule ndani usimuliwe tu, bado mingi sana
Tunatumia muda mwingi sana kutetea ujinga.Ona wanavyoinajisi nchi. Kwa hiyo tunahalalisha wasichana kuweza kupata mimba shule. Hizi ni pressure za maliberali wa kizungu. Muda si mrefu utaona zile ngo zilizokua zinafunza watoto ushoga kuruhusiwa zirudi.
R. I. P. Magufuli
Hii ndo nimeisikia leo tangu nizaliwe.Safi sana waziri, Kuna wakuu washule flani ivi, wakiona wanafunzi hawana akili au performance Yao ni ya chini darasani, walikuwa wanawasingizia Wana mimba na kuwafukuza shule, hutazani wao ndo wamewapa mimba hao wanafunzi,
Narudia tena, WATANZANIA KUNA KITU HAKIKO SAWA VICHWANI MWETU. Umeandika na kufafanua vyema sana mkuuViongozi hawa mnaowasifia kucha kutwa kuwa wana maono wakati ni fuata upepo...uje wa shetani au wa Mungu wamo tu. Ajabu prof mzima juzi kasema hili wakati wa JPM na hilohilo kalisema the opposite wakati wa SSH. Mmenikumbusha prof mwingine Kabudi (muungaji katiba mpya wakati wa Kikwete na huyohuyo mpingaji wakati wa JPM na SSH). Kabudi = Polepole=Bashiru! Akatokea Dr Gwajima wa JPM wa tofauti na Gwajima wa SSH juu ya Covid. Nakumbuka Dr Mwakyembe wa serikali 3 kwenye andiko lake la PhD na yule wa serikali 2 wakati wa Kikwete. Hao ni mifano halisi ya nchi yetu kwamba hatuna viongozi tuna wasaka tonge na wafukuza upepo. Wapi kina Waitara na Dr Mollel waliookoka toka CHADEMA to CCM in exchange for cash & political favours kwa maana ya vyeo. Kina speaker Ndugai wa bandari ya bagamoyo wakati wa JPM opposite na wakati wa SSH. Wapo wa priority ya umeme wa maji wakati wa JPM na opposite ya wakati wa Kikwete na SSH wanaotaka gas. Tumwombe Mungu aikoe Tanzania tupate credible leaders otherwise hatuendi popote ndugu zangu, tutalipishwa mikopo mpaka vitukuu. Na la kuogofya zaidi hawa ndio viongozi misikitiki na makanisani wanaonyenyekewa na kupewa priority. Hawa ndio waliojaza watoto wao vitengo vyote nyeti kwamba wawepo na tawala zao unabated. Unless muujiza uje, kama Taifa tutaendelea na mdumange huu. Msiwaamini hawa watu hata siku moja. Tungoje uzao mwingine labda.
Kushika mimba sio dhambi.Kila mtu ana haki ya kusomaUamuzi mzuri.
Asiye na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe.
Sidhani kama upinduaji meza utakuwa mkubwa kiasi hiki, hata 1 financial year haijamalizika ila meza zinapinduliwa kibabe sanaa!! Huyu tabia chafu zimemponza!! Mwinyi, Mkapa & Kikwete hawakufanyiwa hivi (May be Kikwete alikuwa Victim sababu ya mtu aliyempokea kijiti alikuwa mzee wa visasi)Hata huyu bibi ushungi ajiangalie sn muda wake ukiisha wanamgeuka haraka sn