TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Na walioshiriki kutoa 'mbegu' wataruhusiwa kulea mimba hizo na kiumbe kitakachopatikana bila kutishiwa mvua 30?mimba
Na walioshiriki kutoa 'mbegu' wataruhusiwa kulea mimba hizo na kiumbe kitakachopatikana bila kutishiwa mvua 30?mimba
Meza zinapinduliwa kibabe mnooo, huo ndio ubaya wa kuwa dikteta uchwara, watu wanakusikilizia tu, ukichomoka tu wanakubadilikia, wengi unaohisi wanakusapoti hawakusapoti, ukweli ni kwamba wanakuwa wanakuogopa tu.Jpm akifufuka leo atahisi alikufa miaka 100 ilopita..mana hii U turn inayopigwa na wapambe zake hawezi amini.
Siasa za bongo bila unafiki huwezi ziishi.
#MaendeleoHayanaChama
Udikteta mbaya ChiefHeeee! Yamekuwa hayo tena!
Wadunge mimba udakwe ukatandikwe 30 yako ukakutane na ndugu yako SabayaNi mwendo wa kuwadunga mimba tu bila hofu yoyote.
Hahaha! Wanarudi Mkuu, ulikuwa ni uamuzi wa hovyo sana!Hawa hawaaminiki katu! Siwezi kuwaamini
Unataka mingapi?Mtupunguzie na adhabu .
30 nyingi
Ona wanavyoinajisi nchi. Kwa hiyo tunahalalisha wasichana kuweza kupata mimba shule. Hizi ni pressure za maliberali wa kizungu. Muda si mrefu utaona zile ngo zilizokua zinafunza watoto ushoga kuruhusiwa zirudi. Hata huko ulaya ni marufuku mtoto wa kike kupata ujauzito akiwa shule ya msingi na sekondari. Sasa sisi tunafanya uamuzi utakaozidisha tatizo hilo.Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi/Sekondari watakaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia watapewa nafasi ya kurejea Shuleni katika mfumo rasmi “leo leo natoa waraka zege halilali"
Millard Ayo
Sheria inasema kumchakaza "Minor" ni sawa na ubakaji, na ubakaji hukumu yake ni miaka 30. But hakuna sheria inayosema mtoto wa kike akipata mimba asirudi shule baada ya kumaliza mambo ya uzaziNa walioshiriki kutoa 'mbegu' wataruhusiwa kulea mimba hizo na kiumbe kitakachopatikana bila kutishiwa mvua 30?
Hebu tuache ushabiki wa kinafki. Je zuio lile lilikuwa halali? Tusimsakame tu Waziri tujiulize wewe ukiwa na binti yako akabakwa akafukuzwa shule unalionaje wewe tuache unafki hili ndio tatizo la Watanzania. Kwani Mwendazake alikuwa saint? no alikuwa binadamu alifanya makosa Mungu atamsamehe huko aliko.Jpm akifufuka leo atahisi alikufa miaka 100 ilopita..mana hii U turn inayopigwa na wapambe zake hawezi amini.
Siasa za bongo bila unafiki huwezi ziishi.
#MaendeleoHayanaChama
Na kitu hicho ni ugonjwa wa kupenda kuabudu viongozi " au kitaalamu " leadersiosis"Watanzania kuna kitu hakiko sawa vichwani mwetu.
Wewe endelea kulialia na R.I.P., uamuzi umeshapita tayari!! Unafiki wa awamu iliyopita haupo tena!! Hiyo mijamaa yako unayoiabudu ni mibingwa ya kutembea na vitoto!! Ni basi tu kuna vitu vingine havisemeki hadharani......Ona wanavyoinajisi nchi. Kwa hiyo tunahalalisha wasichana kuweza kupata mimba shule. Hizi ni pressure za maliberali wa kizungu. Muda si mrefu utaona zile ngo zilizokua zinafunza watoto ushoga kuruhusiwa zirudi.
R. I. P. Magufuli
Hii sheria ya miaka 30 inapunguza speed ya mafisi, maana ukidakwa lolote linaweza kukutokeaSawa tu kwa vile wameamua iwe hivo! Hata huo utaratibu wa nje ya mfumo usio rasmi ulikuwa haueleweki mpaka sasa! Ila angalizo ni umakini wa malezi uzingatiwe maana shule zinaweza kujaa watoto wa mama na kupelekea wasichana wetu kuona mimba ni issue ya kawaida!
Lakini sheria ya miaka thelathini uko pale paleHiyo inaitwa fungulia mbwa......ni mwendo wa mimba tuu sasa
Ha ha ha jamaa muongo sana weweSafi sana waziri, Kuna wakuu washule flani ivi, wakiona wanafunzi hawana akili au performance Yao ni ya chini darasani, walikuwa wanawasingizia Wana mimba na kuwafukuza shule, hutazani wao ndo wamewapa mimba hao wanafunzi,