Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Hivi karibuni serikali iliwapiga marufuku waganga wa tiba za asili ikiwa ni pamoja na kung'oa matangazao yao mitaani kwa kile kilichoitwa ni kupotosha umma na kuhatarisha maisha ya watu.
Kama lengo ni kuondoa upotoshaji na kuepusha wananchi kutapeliwa.Je,serikali hii inaridhika na hiki kinachofanywa na hawa wanaojiita wahubiri/manabii kupitia vituo vya Television?
Ukiangalia maombezi ya hawa watu kwakweli unaweza kupigwa na mshangao mkubwa maana siku hizi wamegeuka kuwa manabii,madaktari,wnamazingaombwe n.k.
Leo nimemuona mmoja anaejiita "prophet"(jina nimelihifadhi), akijitangaza kumsaidi ng'ombe wa mmoja wa waumini wake kupata mimba kwa kumpa chupa yenye mafuta maalumu na tukio hilo kuonyeshwa kwenye tv.
Anyway,inawezekana huyu "prohet" anafanya haya kwa ni njema tu, lakini je, kesho na keshokutwa akiibuka mwingine nae tutamuamini?
Huo ni mfano mmoja tu.Kuna wengine watakwambia umelogwa,ndoa yako ina matatizo kwasababu ya mtu fulani n.k.
Wadau,nafahamu mambo haya ni ya kiimani lakni kweli hizi ndio imani tulizorithi au hii sasa ni transformation ya mambo ya kiimani kwa ajili ya kujipatia kipato na kuhadaa watu?
Serikali,je,kuna tofauti ya waganga wa jadi na baadhi ya hawa wahubiri/manabii wa siku hizi?
Kama lengo ni kuondoa upotoshaji na kuepusha wananchi kutapeliwa.Je,serikali hii inaridhika na hiki kinachofanywa na hawa wanaojiita wahubiri/manabii kupitia vituo vya Television?
Ukiangalia maombezi ya hawa watu kwakweli unaweza kupigwa na mshangao mkubwa maana siku hizi wamegeuka kuwa manabii,madaktari,wnamazingaombwe n.k.
Leo nimemuona mmoja anaejiita "prophet"(jina nimelihifadhi), akijitangaza kumsaidi ng'ombe wa mmoja wa waumini wake kupata mimba kwa kumpa chupa yenye mafuta maalumu na tukio hilo kuonyeshwa kwenye tv.
Anyway,inawezekana huyu "prohet" anafanya haya kwa ni njema tu, lakini je, kesho na keshokutwa akiibuka mwingine nae tutamuamini?
Huo ni mfano mmoja tu.Kuna wengine watakwambia umelogwa,ndoa yako ina matatizo kwasababu ya mtu fulani n.k.
Wadau,nafahamu mambo haya ni ya kiimani lakni kweli hizi ndio imani tulizorithi au hii sasa ni transformation ya mambo ya kiimani kwa ajili ya kujipatia kipato na kuhadaa watu?
Serikali,je,kuna tofauti ya waganga wa jadi na baadhi ya hawa wahubiri/manabii wa siku hizi?