Chakochangu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,668
- 2,158
Yesu akawaambia wanafunzi wake´Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.Wakabishana wao kwa wao wakisema ni kwa sababu hatukuchukua mikate.
Imekuwaje hamkufahamu ya kuwa si kwa sababu ya mikate naliwaambia? Ila jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo. Ndipo walipofahamu ya kuwa hakuwaambia kujilinda na chachu ya mkate, bali na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
Imekuwaje hamkufahamu ya kuwa si kwa sababu ya mikate naliwaambia? Ila jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo. Ndipo walipofahamu ya kuwa hakuwaambia kujilinda na chachu ya mkate, bali na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.