Huwa nashindwa kuelewa Mwalimu mkuu anahangaika kuiba mitihani, ili aonekane amefaulisha sana, ni aibu na kutengeneza kizazi ovu mapema sana........sasa anayeibiwa mtihani drs la 7,anaweza kuwa balozi mzuri wa vita dhidi ya rushwa kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.