mwenda wazimu
JF-Expert Member
- Feb 20, 2017
- 820
- 1,277
Habari!
Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza tunaomba Serikali itupie jicho kwa bandari ya Mtwara. Ukweri ni kwamba kuna tabia za kijinga ambazo azivumiliki watu wanafanya bandari kama mali binafsi na kuwa na maamuzi wanavyo taka na si kwamujibu wa sheria na taratibu. Imefikia hatua anafanya Kazi siku nzima mfanyabiashara mmoja bandari nzima kisa anasifika kwa kutoa hela ya chai wakati bandari inapaswa kuhudumia kwa usawa wafanya biashara wote wanaotumia bandari hii hasa ukizingatia bandari inatumika kipindi cha msimu wa korosho zaidi
Hili swala halivumiliki vimeshafanyika vikao sichini ya mara mbili tunawaeleza hili swala awajari siku ya Leo bandari nzima anafanya stuffing company moja tu.
Tafadhali serikali ingilieni Kati unyanyasaji huu
Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza tunaomba Serikali itupie jicho kwa bandari ya Mtwara. Ukweri ni kwamba kuna tabia za kijinga ambazo azivumiliki watu wanafanya bandari kama mali binafsi na kuwa na maamuzi wanavyo taka na si kwamujibu wa sheria na taratibu. Imefikia hatua anafanya Kazi siku nzima mfanyabiashara mmoja bandari nzima kisa anasifika kwa kutoa hela ya chai wakati bandari inapaswa kuhudumia kwa usawa wafanya biashara wote wanaotumia bandari hii hasa ukizingatia bandari inatumika kipindi cha msimu wa korosho zaidi
Hili swala halivumiliki vimeshafanyika vikao sichini ya mara mbili tunawaeleza hili swala awajari siku ya Leo bandari nzima anafanya stuffing company moja tu.
Tafadhali serikali ingilieni Kati unyanyasaji huu