Mongasa
Member
- Jul 3, 2019
- 74
- 73
Natanguliza zangu nyingi shukrani kwako Mh Rais kwa mengi unayofanya kwa ajili ya Wananchi wako, pamoja na hayo kuna mambo mengi aidha watendaji wako hawakuambii au wao ni sehemu ya uozo huo.
Yapata miaka zaidi ya miwili tunahangaikia kufuatilia pesa za michango yetu ya hifadhi ya jamii ambayo kimsingi ni kuwa mwajiri wetu wa zamani New Habari 2006 Ltd hajawahi kupeleka, tumefuata taratibu mbalimbali lakini inaonekana hili suala ni gumu sana.
Kwa mamlaka yako tunaomba umwamrishe mmiliki wa Kampuni tajwa bwana Rostam Aziz na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Naibu Waziri wa Kilimo wafuate Sheria na kupeleka michango ya wafanyakazi.
Nikutakie kazi njema iliyotukuka na kumbuka kutupia jicho hapo NSSF
Yapata miaka zaidi ya miwili tunahangaikia kufuatilia pesa za michango yetu ya hifadhi ya jamii ambayo kimsingi ni kuwa mwajiri wetu wa zamani New Habari 2006 Ltd hajawahi kupeleka, tumefuata taratibu mbalimbali lakini inaonekana hili suala ni gumu sana.
Kwa mamlaka yako tunaomba umwamrishe mmiliki wa Kampuni tajwa bwana Rostam Aziz na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Naibu Waziri wa Kilimo wafuate Sheria na kupeleka michango ya wafanyakazi.
Nikutakie kazi njema iliyotukuka na kumbuka kutupia jicho hapo NSSF