Serikali: Tunafuatilia suala la Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini kuzuia ndege ya ATCL. Ni kufuatia Hermanus P. Steyn kufungua shauri

Pumbavu
unajua ndio maana viongozi wengine wanamshamgaa uyu mwenzetu hii kasi yake maana wanajiuliza sisi tulishindwa sababu ya vimeo ambavyo serikali iliviona uyu jamaa anatoa wapi pesa kumbe jamaa alipi madeni yeye ananunua tu

Matokeo yake ndio hata hata hizo sijui fly over nk tuanze futilia usikute mzee baba kashauza inchi anaeajengea kwenye inchi yao sisi tunampigia makofi tu kumbe tayali hana chake kachukua pesa za watu uko

Na hii ndio sababu itafamya uyu mzees anganganie madarakani sababu wakija wengine wataona madudu ya ajabu so watanzania tusifanye masihara kwenye mambo haya uyu mzee 2020 atuachie inchi yetu anapotupeleka siyo

Badae watoto wetu watashindwa kusoma hata shule ya msingi bure maana pesa za kulipa mishahara watumishi atakuwa hana hospital zitakosa madawa sababu atakuwa anadaiwa kila kona

Miradi anayoitekeleza kwa akili ya haraka haraka tu uyu mzee atakuwa anakopa mapesa ya watu uko badae yatuletee shida sababu mtaani vyuma vimekaza hiyo kodi anaitoa wapi kutekeleza mairadi mikubwa hivyo

Hili sula la ATCL lifungue vichwa vyetu mzee anatupeleka siyo

Watumishi wa umma jiandaeni kisaikolojia si mmeanza zigimbania kadi za chama na kuunda mashirikisho haya kinachofuta hapo nikuanza kukopwa mishahara yenu si mmekuwa makada mtasemea wapi

Twafwaaaaaaa
 
Nadhani sababu ATCL imekua inaleta ushindani mkubwa kwa SAA kwa route ya Johannesburg maana ATCL wamekua wanapata abiria kuanzia 70-130 kwa hio route na bei yao ipo chini maana SAA wao nauli $500
 
Dawa ni kuakikisha tunaweka stabilisation clauses kwenye mikataba kama tunanunua ndege na manufacture yupo tayari kutuuzia basi ni jukumu lake kuakikisha anaifikisha ndege mpaka Tanzania kama awezi hilo sharti atuingii mkataba na akisema anaweza asipotimiza lazima arudishe hela yetu yote jumlisha na hasara zingine.

Tunapoenda nchi za watu authorities zinazotoa vibali pia lazima walinde ndege za ATCL kama awawezi tusiende na wakisema wanaweza likitokea kama la SA they are liable.

Bila ya ubunifu hizo ndege zitakuwa target kila sehemu.
This can solve nothing if our gov' can not abide and adopt the rule of law.

It is the court which gives order that even the gov' authorities can not intervene
 
Shukrani Mkuu Ushimen nimeona. Pesa yenyewe ni kiduchu tu nadhani italipwa in 2 or 3 days kama ni kweli na hakuna pingamizi, lakini kutokana na kuvunja kiholela mikataba ya Kimataifa hili zoezi la kukamata ndege za ATCL wengi watalifanya ili walipwe kile wanachodai.
good point BAK umetoa point kubwa sana hpo kuliko blah blah nyingi zilizoandikwa kwenye huu uzi.
 
ndio manake nini mama..sema kiswahili ueleweke..ndio.maana mmeo anataka kukuacha
Hahahaa MATAGA bwana wakishindwa hoja wanaanza matusi ili wareport kwa mods upigwe BAN,Siingiagi kwenye MITEGO ya ZERO BRAIN maana walipolala wao ndio nilipoamka.

Mwambie "LOYA" wenu MSoMi ALIBETO MSANDO akalipe Bilioni 9.5 kwa S.A.A ili ndege yetu "BOMBADYEEEEE KYU FO HANDRILEDI" iachiwe.
 
View attachment 1188698

NOTE:

Habari hii ni ya November 13, 2008

Wamenyanganya watu pesa nakutudanganya ni mapato ya ndani.
Sasa kama huku Afrika wameanza kukamatana, je huko nje itakuwaje? Wajipange tu ili kulipa madeni wanayodaiwa.
Hili ni deni la zama za ushirika kati ya ATC na SAA iliyozaa ATCL. Ni mambo ya kawaida kibiashara. SAA kaona shirika limeamka anechukulia advantage apate chake!

Hivi huyo mwanasheria wa serikali hawezi kupeleka pingamizi huko kama aulivyopeleka la Lisuu kuhusu ubnge? au kiwango chake ni cha hapa nchini tu?
 
Kuna ufisadi ulifanywa na waliomtangulia JPM, lakini ilani inayotekelezwa ni moja, hivyo hili ni tatizo la muda mfupi, ni kama majira ya mwaka, litapita.
Pombe alikuwa serikani km waziri na naibu kwa miaka 20, yaani kipindi chote cha mkapa na kikwete alikuwa mjumbe wa baraza la mawaziri ambapo ndo maamuzi ya serikali hufanyika. Watz siyo wajinga sana kihivyo
 
This can solve nothing if our gov' can not abide and adopt the rule of law.

It is the court which gives order that even the gov' authorities can not intervene
The court has to apply terms implied by SADC treaties in its decision, the question which arises were they considered in the due processs.

Moreover Tanzania government was not fore warned on matters of their assets being at risk in SA due to contractual dispute this is an aspect of SADC goodwill measure on diplomacy treaty demands.

As yet we don’t even know if such matters were expressed in the actual contract to be sorted in SA courts when a dispute arises, who knows the ruling might have favoured the local business.

There are a lot of legal questions left an unanswered.
 
Back
Top Bottom