Serikali tumieni mfano wa shule ya Kisimiri kuleta mabadiliko katika ufaulu

Mkuu jaji mfawidhi umeongea ukweli mtupu kuhusu Azania na shule za town center jijini Dar.
Hata hivyo,mbona sisi tulisoma shule hizo,ujana tumeufanya na masomo tulifaulu?
Mimi nilisoma Tambaza ya akina Puza na mziki wake kuna watu wanaujua humu.
Haya mapenzi ya "Azajangwa" hayajaanza leo.
Mimi nadhani hakuna uwajibikaji wa kielimu darasani kwa hao watoto.
Kama walimu wataingia kufundisha darasani frequently,mwanafunzi akapewa majaribio kila weekend au every after two weeks,wasiofanya majaribio hayo wakafuatiliwa ikiwa ni pamoja na kuita wazazi wao,wanaofeli pia wakafuatiliwa,mtu akaambiwa chini ya wastani huu kwa idadi ya majaribio kadhaa ukifeli basi tafuta shule nyingine ya kwenda au rudia darasa,wakiwa groomed hivyo,huna haja ya kukimbizana nao gheto wala wapi,watatulia wenyewe na kusoma.
Hivyo usimamizi wa hiyo shule kitaaluma kwa sasa ni mbovu.Ndio sababu kuu.
Wakibanwa darasani,hayo mengine yatapotea yenyewe bila kutumia nguvu na hata kama watabaki baadhi wanayafanya,hawatayafanya kwa kiwango cha kuwaathiri kielimu hivyo,maana muda hawatokuwa nao.
Watoto wa siku hizi wa Azania muda wote wako tuition,mtu unajiuliza,darasani hawakai?kwanini?huu uhuru wanatoa wapi?
Nampa Makonda ushauri,ahakikishe anaweka mfumo wa kufuatilia attendance ya walimu na wanafunzi darasani kwenye hizo shule za jijini,kuwe na mfumo wa kufuatilia majaribio kama hiyo shule ya Mwl Kisongo,nawahakikishieni hamtasumbuka na hawa watoto wa mjini,watatulia tulii.
Na mengineyo yataibuka,mtasikia walimu wanaanza kulalamikia uhaba wa test tube maabara,hapo mtajua sasa watoto wanafundishwa.
Mkuu mim nazani kw advance Azania hawajawah kuwa na matokeo mazuri ingawa huwa hawafeli sana. Kwa sasa hiv azania kwa upande wa advance ni kama vile chaka la wahuni. Wanaopata division 3 zile za mwisho tena waliotoka shule za kata za hapo hapo dar ndo wanachaguliwa Azania. Wakifika hapo wanakutana na watoto wazuri wa jangwan, kisutu wanasahau kabisa kilichowapeleka hapo shuleni.
Ushaur ni kwamba tuboreshe kwanza shule zetu za kata zilizopo dar hii ina maana hata azania watapata wanafunzi wazuri walioiva na wanaoelewa nn maana ya elimu.
Pia nakubaliana na wew kwa ushauri wako uliotoa.
 
Mbona mwalimu mkuu anasema hawajawahi kupokea division one ! Wao wanapokea three na chache two
anatafuta kiki n ngumu kufananisha shule za kata na special kama mzumbe ata seminary wana chukua wanafunzi wenye vipaji div one na two
 
Azania wamefeli,na vivulana vidogo dogo ambavyo havijakauka shombo ya maziwa.

Sababu kuu ya AZANIA kufeli.

1:-Wanafunzi kujihisi wao ni "watoto wa mjini" ilhali kichwani kumejaa pepcorn.

2:--kuzungukwa na vibinti vibichi vya Jangwani Sec na Zanaki,Shaaban Robert na Tambaza,uzoefu unaonyesha mvulana mmoja wa Azania ana Wasichana/Mzizi mwenziye kila shule tajwa.

3:-Kuendekeza starehe na kila mmoja kujiita diamond platinumz,kutaka kuwa msanii badala ya kusoma,wanataka maisha mteremko.
4-Lishe duni hasa Chips za mafuta ya transformer na maji ya kandoro ,hela yao inayobaki i apokwenda nitakwambia.

5:-Smart Phone/Simu..,Hawa wote wanazo simu za ku slaidi,Wanaweka bundle ,wana download picha za ngono na kutumia a na wazinzi wenzao wa Zanaki etc,wanachat sana watsupp kwenye magroup yasiyo na maana.

6:--Team Kiba/Diamond:-Hawa watoto wa Azania ndio walioanzisha team Diamond/Kiba,mda wote wanashinda insta kufuatilia yakiyojiri na kubishana nani yupo juu kati ya wasanii hao wawili mtu mzima jua unapochangia mjadala wa Diamond na Kiba una urge na watoto wa Azania .

7:-Kushinda kwenye ma -gheto ,hasa maeneo ya Jangwani na Magomeni wakati wazazi wao wapo makazini,huko gheto ndipo wanapopiga 'mitungo' madada zetu wa Jangwani,Zanaki na Shaaban Robert.

8-VILEVI-pombe za Pakiti,Tambuu,Kuberi,Miringi,na Gomba ambazo zinashushwa na Tahmeed pale magomeni,Hawa watoto wanatumia hivyo vyote wakiamini hivyo vilevi vinaongeza nguvu ili wapige madem wengi zaidi of which sina uhakika.

9-BASH--Hawa watoto kila weekend wao ni Bash,hili neno najua ukimwita yule mtoto wa Kisimiri ama Tabora Boys atafikiri ni neno la Chemisty topic ambayo hakusoma lakini kwa Azania ni talk of the day!Wao ni kula bata na tour zisizoisha!

10:--Vitendo vya ngono kwenye hii shule kipindi cha mahafali ni wazi kabisa,mtoto anakunjiwa nyuma ya mlango,chooni,etc.

11:--Waalimu wengi hapa Azania ni ******,am sorry to say so but namsaidia JPM.
Hawa ni wake za wakubwa ambapo waume zao wanapopata nafasi za kuteuliwa ama kuchaguliwa waje Dar basi hakuna namna mume anataka kuja na mkewe,na inatafutwa shule iliyopo jirani,wanajazana hapo Na kupiga soga tu,


Bwana Yesu asifiwe sana!

Jumapili njema,

My take:-

RC Makonda,nakusihi,wajibisha afisa elimu wa kanda ,Mwalimu mkuu,DeD vunja bodi ya Shule.
Amesheni waalimu waliopo hapo.

12. Headmaster ni MDINI SANA, hataki WAISLAMU waende MSIKITINI SIKU YA IJUMAA japo ipo kisheria na waraka umeenea Tanzania nzima. anafanya makusudi kuwaweka parade hadi saa nane na nusu hivyo kushindwa kuhudhuria ibada kama kawaida ya shule nyingine.
 
Mkuu jaji mfawidhi umeongea ukweli mtupu kuhusu Azania na shule za town center jijini Dar.
Hata hivyo,mbona sisi tulisoma shule hizo,ujana tumeufanya na masomo tulifaulu?
Mimi nilisoma Tambaza ya akina Puza na mziki wake kuna watu wanaujua humu.
Haya mapenzi ya "Azajangwa" hayajaanza leo.
Mimi nadhani hakuna uwajibikaji wa kielimu darasani kwa hao watoto.
Kama walimu wataingia kufundisha darasani frequently,mwanafunzi akapewa majaribio kila weekend au every after two weeks,wasiofanya majaribio hayo wakafuatiliwa ikiwa ni pamoja na kuita wazazi wao,wanaofeli pia wakafuatiliwa,mtu akaambiwa chini ya wastani huu kwa idadi ya majaribio kadhaa ukifeli basi tafuta shule nyingine ya kwenda au rudia darasa,wakiwa groomed hivyo,huna haja ya kukimbizana nao gheto wala wapi,watatulia wenyewe na kusoma.
Hivyo usimamizi wa hiyo shule kitaaluma kwa sasa ni mbovu.Ndio sababu kuu.
Wakibanwa darasani,hayo mengine yatapotea yenyewe bila kutumia nguvu na hata kama watabaki baadhi wanayafanya,hawatayafanya kwa kiwango cha kuwaathiri kielimu hivyo,maana muda hawatokuwa nao.
Watoto wa siku hizi wa Azania muda wote wako tuition,mtu unajiuliza,darasani hawakai?kwanini?huu uhuru wanatoa wapi?
Nampa Makonda ushauri,ahakikishe anaweka mfumo wa kufuatilia attendance ya walimu na wanafunzi darasani kwenye hizo shule za jijini,kuwe na mfumo wa kufuatilia majaribio kama hiyo shule ya Mwl Kisongo,nawahakikishieni hamtasumbuka na hawa watoto wa mjini,watatulia tulii.
Na mengineyo yataibuka,mtasikia walimu wanaanza kulalamikia uhaba wa test tube maabara,hapo mtajua sasa watoto wanafundishwa.

pale panatakiwa wapelekwe watu wa BAKORA mwanzo mwisho, watanyooka tu.
 
Mkuu mim nazani kw advance Azania hawajawah kuwa na matokeo mazuri ingawa huwa hawafeli sana. Kwa sasa hiv azania kwa upande wa advance ni kama vile chaka la wahuni. Wanaopata division 3 zile za mwisho tena waliotoka shule za kata za hapo hapo dar ndo wanachaguliwa Azania. Wakifika hapo wanakutana na watoto wazuri wa jangwan, kisutu wanasahau kabisa kilichowapeleka hapo shuleni.
Ushaur ni kwamba tuboreshe kwanza shule zetu za kata zilizopo dar hii ina maana hata azania watapata wanafunzi wazuri walioiva na wanaoelewa nn maana ya elimu.
Pia nakubaliana na wew kwa ushauri wako uliotoa.
Hilo nalo neno mkuu.
Shule za kata za Dar ni majanga,lakini ukichunguza tatizo ni hili hili la watoto kutokukaa na kufuatiliwa vizuri darasani.We shule ina waalimu watatu,utamfuatilia nani,umwache nani?hilI nalo tatizo.
Mfumo mzima una matatizo ila tukiwa serious tunayaweza haya.
Pia serikali ijaribu kuendana na mazingira yaliyopo kupambana na changamoto zake.
Zamani A level wastani wa umri tuliokuwa nao wanafunzi ni +19 na walimu wetu walikuwa wengi approaching or above 40.
Ukirudi huko chini shule za msingi ndio kabisaa,tulikuwa tunafundishwa na mabibi.
Leo hii je?Nenda pale Azania uone vivulana vilivyopo,vidogodogo,na walimu nao wadogowadogo,generation hii ikoje socially na tunaiset vipi kuucheza muziki tunaoutune sisi tena ndani ya vurumai za jiji la Dar?haya ni mambo jamii nzima ikiongozwa na serikali tunapaswa tuwe na majibu yake.
 
Hilo nalo neno mkuu.
Shule za kata za Dar ni majanga,lakini ukichunguza tatizo ni hili hili la watoto kutokukaa na kufuatiliwa vizuri darasani.We shule ina waalimu watatu,utamfuatilia nani,umwache nani?hilI nalo tatizo.
Mfumo mzima una matatizo ila tukiwa serious tunayaweza haya.
Pia serikali ijaribu kuendana na mazingira yaliyopo kupambana na changamoto zake.
Zamani A level wastani wa umri tuliokuwa nao wanafunzi ni +19 na walimu wetu walikuwa wengi approaching or above 40.
Ukirudi huko chini shule za msingi ndio kabisaa,tulikuwa tunafundishwa na mabibi.
Leo hii je?Nenda pale Azania uone vivulana vilivyopo,vidogodogo,na walimu nao wadogowadogo,generation hii ikoje socially na tunaiset vipi kuucheza muziki tunaoutune sisi?haya ni mambo jamii nzima ikiongozwa na serikali tunapaswa tuwe na majibu yake.
Ni kweli mkuu pia tatzo la vitoto vya siku hiz usharobaro mwingi unamkuta kijana anasoma Azania tena PCM ameeka head phone kubwa kama vile DJ anaenda shule. Mkononi ana smart phone utegemee kweli huyu atasoma
. Nazani kwa upande wa Dar shule zote zinahitaj total reform kuanzia walimu ikiwezekana watolewe wote waende kijijin huko.
Pia walimu nao wanafundisha kimazoea hakuna kabisa nidhamu mashuleni, yani huwez kujua huu mda ni wa darasani au mda sio wa darasani.
Ni aibu sana kwa mkoa wa Dar kutoa shule iliyofanya vibaya na mazingira yote haya mazuri ya kusomea.
Naomba mh. Makonda aanze na hili hawa vijana wa secondary mkoa wa Dar wanapewa uhuru kupitiliza mno.
 
The History of Kisimiri Secondary School

Kisimiri Secondary school is the product of a collective initiative by the people of Kisimiri village. The local initiative later received a major impetus through a charitable donation from Prof. Emil Karafiat of Switzerland whose roots and earlier childhood life can be traced to this village located on the slopes of mount Meru in Ngarenanyuki ward, Meru district in Arusha Region-65 kilometres away from Arusha City.

Kisimiri Secondary School began on May 2002 with only forty students under Education coordinator Mr. A. Meena. At this humble beginning, the school teaching staff included the following Mr. Godlove Siara, Miss Eliakesia Mbise, Miss Neema and Nalaila Yona. Except for Mr. Godlove Siara, non had undergone a formal teaching training being only form six leavers.

It was only until 10th October 2002 that the government started allocating teachers to the school. Up to now the school has 32 government teachers.

Kisimiri secondary school is a fully registered government school and it is a Co-education school teaching science and arts subjects. It offers two combinations which are HKL (History, Kiswahili and English Language) and PCM (Physics, Chemistry and Advanced Mathematics) for form five and six. The school consists of both day and boarding scholars; all of them have one study cycle from morning up to afternoon. All A ‘level students are boarding Scholars.

The school has cherished under a good leadership of Mr. Emmanuel John Kisongo who is the third Headmaster of this school preceded by Mr. Martin Raphael Hari and Mr. Togolan Stanley Mbwambo.

You are all welcome to Kisimiri secondary school. The home of talents.
 
SAM_3123-2.jpg
 
Umenena sana ila hapa umekosea.ded mgeni.Afisa elimu na mkuu washule hawana kosa kama unakiri walimu ni wake Wa vigogo sasa watawakemeaje wakati wake za wakubwa.sema hivi kwa dar es salamu yote serekali itenge mikoa kama lindi.mtwara.ruvuma.kigoma.simiyu.songwe.nk watumishi wote hasa walimu na Manesi madoctor waamishwe kwa kupangiwa hiyo mikoa asiyetaka aache kazi ili wakajifunze wenzao wanafanyaje kazi katika mazingira magumu.
Huo sasa niwivu
 
12. Headmaster ni MDINI SANA, hataki WAISLAMU waende MSIKITINI SIKU YA IJUMAA japo ipo kisheria na waraka umeenea Tanzania nzima. anafanya makusudi kuwaweka parade hadi saa nane na nusu hivyo kushindwa kuhudhuria ibada kama kawaida ya shule nyingine.
Hii inahusiana nini nawanafunzi kufeli!? Kushirikisha ubongo nibora zaid
 
Back
Top Bottom