ashy da don
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 657
Hakuna shule yenye mazingira mazuri kwa upande wa serikali labda kibaha. Unaijua tabora boys? Kiufupi hakuna shule yenye miundo mbinu mizuri kwa upande wa special school. Uzuri wa hizi shule ni kuwa wanafunzi wanajituma na wanajua wamekifata nini.Ni kweli kisimiri inachukua wanafunzi wenye ufaulu wa juu kwa advance...lakini kwa mazingira yale na ufaulu wao wapongezwee tu...masuala ya uchache sidhani...nimesoma pale mazingira ya kisimiri ni magumu sana...ila huyo Kisongo anajitahidi mnooo