Serikali 'tukufu' ya Mh. JK inashambuliwa kila kona...!

I have never heard citizens using f word against their president.kikwetwe am' advising you to leave office honorably otherwise whole world will be against you.for yiur information wahisani wanaongelea kupunguza msaada wao kwenye budget kwa 50%
 
Kelele za mlango hazimshtui mwenye Nyumba.

Ohh! Really??!! Sasa kinachowafanya mnahaha namna hiyo ni nini??? The wind of change is getting stronger!! Make sure you're on the right side or else!!!....
 
Hizo kelele ni za kawaida sana kwa nchi ambayo rais wake si dikteta, ambaye ana practise uhuru wa kujieleza kwa vitendo. Usingeweza kuziona kwa madikteta ambao kuuwawa kwa raia 27 pemba haikuwa issue kwao, kuua watu kwenye nyumba ya ibada mwembe chai si issue ya kuiongelea.

Pole kikwete ila nashukuru unafahamu ni kwa nini unaandamwa, maana ingekutia pressure for nothing . unafahamu kwa nini katika awamu hii dini inaweza kuchanganywa na siasa, awamu ya tatu na ya kwanza ilikuwa marufuku, awamu ya tano itakuwa marufuku tena, that is how it is, na sisi hapa JF tutahakikisha na kusimamia kamwe viongozi wa dini hawathubutu kumkataa au kumkubali kiongozi wa kisiasa hadharani katika awamu ya tano.
 

facebook itafungwa rasmi tarehe 15 march, 2011.kwa hiyo watu watafute mitandao au njia mbadala za kuwasiliana na watu wa nje.
kuna uweekano mwingine JF nayo ikafungwa. Hii ni taarifa za kiintelijensia kama ilivyodakwa.
Hii ni kwa sababu inachangia kujenga chuki ya wananchi dhidi ya serikali yao halali hivyo itafungwa muda si mrefu.
Nadhani wanaoshambulia serikali ndani ya magesti bila shaka ni Dr. Slaa na Mushumbusi.
Dhana ya kushambuliwa au kuzungumzwa sana serikali ni uthibitisho kuwa ipo na inafanya kazi. With time ngonjera zoote hizi zitayeyuka na kuisha. Tujipe muda tu.
 
Hakuna serikali halali bali genge na MANYANG'AU wanaolazimisha kutawala bila ridhaa ya wenye nchi.
 
Yaani kwa kweli ni hatari tupu jinsi wandugu wa TZ wanavyoishambulia serikali pande zote kiasi kwamba zile kelele za mlango sasa zinaleta usumbufu kiasi cha kumkosesha JK usingizi murua tofauti na ilivyokuwa enzi anaingia ikulu baada ya uchaguzi wa mwaka 2005. Du, hali inatisha mazee kila kona: maredioni, magazetini, makanisani, misikitini, klabuni, vijijini, mijini, maofisini, mashambani, madukani, kwenye bar, uwanjani, mpirani, mahospitalini, jeshini, UWT, katika Facebook na hapa JF, kwenye NGO's, vijiweni hadi kwenye magesti, you just name it.....mh! What next..?

Mkuu,
Hapo pekundu.....ile shughuli itafanyika tena mkiwaza ya JK?
 
Naondoa neno 'tukufu' naweka neno 'baradhuli' badala yake, naomba isomeke hivyo tafadhali, na kama mnakubali wote semeni 'ndiyoooo.....'
 
Naondoa neno 'tukufu' naweka neno 'baradhuli' badala yake, naomba isomeke hivyo tafadhali, na kama mnakubali wote semeni 'ndiyoooo.....'

ndiyoøo! Unajua nini,ata miwan yangu haiitaki serikali hii. Mi muda wote nasoma 'serikali TUKUTU' kumbe uliwe F badala ya T,mi nlikuwa nasoma 'tukutu'
 
Amini uciamini, tembelea facebook page ya 'jakaya mrisho kikwete' uone jinsi coment za kupinga malipo ya dowans zinavyoshambulia serikali ya jk kila kona! Au ndio kikulacho ki nguoni mwako?
 
Unashangaa nini? Mbona kawaida tu. Unakumbuka enzi za mzee Mwinyi ambaye aliwatoa Watanzania katika lindi la umasikini wa njaa na udhalilishaji wa kuvaa magunia, kupanga foleni mchana kutwa kwa kilo ya unga wa muhogo aliishia kutukanwa matusi ya nguoni? Yanayompata JK yalishampa mzee rukhsa miaka 15 iliyopita.
Kama unajaribu kuwalinganisha wala hata hawafananji kabisa. Huyo mwinyi alichofanya ni,pamoja na uliyosema kushusha uchumi wa nchi kiasi kwamba hata wewe ulipokuwa mdogo uliweza kumiliki pesa nyingi tu!Huu ni ujinga.Akaweka paa tusinyeshewe then akatuhamishia chooni! Tumpigie makofi bosi?Do you realy sugest? Lakini huyu wa sasa ni bomu hakuna spea! Hata concept ya uongozi hakuna,ni mwizi tu wa mali za watanzania,Mtesaji wa raia wa nchi hii kwa kuwabebesha mizigo kama ya TANESCO na mingine unayoijua wewe. Bado unaona wanaonewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom