Kessy Wa Kilimanjaro
JF-Expert Member
- Jan 23, 2016
- 327
- 208
Itafika mda hii nchi mpaka hela unayompa mtoto kwenda kununulia chakula shuleni serikali itaikata kodi. Mpaka hela ya house-girl ya matumizi serikali itataka chake. Mpaka hela ya mkewe kula bata serikali itataka chake. Lakini ukiwa unafanya kazi serikali haipo kukusaidia ukiwa unatoka jasho.
hizo benki tayari zinalipa kodi kwenye mapato wanayopata sasa tena juu ya hio kodi serikali inaongeza nyingine ya ujanja na inategemea kusiwe na muongezeko wa bei. Yani serikali mission yao mwaka huu ni kuuwa sekta binafsi na kuongeza gharama ya maisha TZ.
hizo benki tayari zinalipa kodi kwenye mapato wanayopata sasa tena juu ya hio kodi serikali inaongeza nyingine ya ujanja na inategemea kusiwe na muongezeko wa bei. Yani serikali mission yao mwaka huu ni kuuwa sekta binafsi na kuongeza gharama ya maisha TZ.