#COVID19 Serikali toeni takwimu kwa mujibu wa mapendekezo

Hujui kitu tulia tu
Mwenye kujua utakuwa wewe?

Kwenye red kunakuhusu:

IMG_20210711_205649_038.jpg


Tunawajua vyema na hamtutishi. Kama legacy nendeni mkakae lindo Geita.
 
Huyo
Wewe k.enge na Corona zako humu si ujifungie ndani na mumeo mkae humo muangalie T.V hadi siku mkisikia Corona imeisha miaka 8 ijayo!?, Mbona unahangaika sana na Corona una kichaa cha kuiwaza CORONA masaa yote nini!?, Tangu Corona ianze umewahi kusikia kondakta wa daladala yeyote amekufa au kulazwa kwa Corona!?, Kumbuka anahudumia abiria zaidi ya 1000 kwa siku kwenye basi linalojaza nyomi bila barakoa wala sanitizer.. Watu wengine Corona inawafanya muonekane WAPUMBAVU. Ukitangaziwa idadi ya wagonjwa utapata nini!?, Tangu May 2020 hawatangazwi wagonjwa umepungukiwa nini!?
Huyo mwehu alishakula vya watu,anahangaika kweli na Corona
Mpaka anatulia huruma,siku akisikia haipo anaweza jinyonga.
 
Huyo

Huyo mwehu alishakula vya watu,anahangaika kweli na Corona
Mpaka anatulia huruma,siku akisikia haipo anaweza jinyonga.

Waambieni wanaowatuma kuwa vi ID vyenu mnavyoita vya KIMKAKATI tunavijua:

IMG_20210711_212052_743.jpg


Tunajua unapinga pia katiba mpya.

Kwamba wewe ni chawa wa mwendazake.

Kuna nilichobakiza kuhusu wewe?
 
Nimekwambia nini wewe k.enge!?,si unaona uzi ndo umefika ukingoni?,watu wameshakuona zwazwa tu na threads zako za Corona kila baada ya nusu saa. Toka hapo kwa shemeji yako au mumeo uanze kupambana kutafuta maisha mwenyewe uache kuwa unaiwazia Corona masaa 24.
Uzi uko imara.

Wimbi la wenye vi ID kama vyako tunalijua na wanaowatuma tunawajua.


IMG_20210712_072901_341.jpg


Kwamba mnaangukia kwenye wigo huu:

IMG_20210711_205649_038.jpg


The rest you can tell it to the birds!

Cc: BAK Mwifwa Extrovert Erythrocyte
 
Inafahamika kuwa tume ya wataalamu iliyoteuliwa kushauri kuhusiana na ugonjwa huu ilitoa mapendekezo yake. Inafahamika kuwa % kubwa ya mapendekezo ya tume hiyo yamepokelewa na yako katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Hata hivyo katika yote, mawili haya yangalipo yakielea angani yakiendelea kupelekea wagonjwa na vifo zaidi ambavyo aghalabu vingeweza kuepukika: 1. Kutokutolewa takwimu za ugonjwa kinyume cha mapendekezo ya tume. 2. Kukosekana kwa usimamizi kuhakikisha utekelezaji kwa yaliyopitishwa. #1 - Inapelekea maeneo yaliyoathirika zaidi kwa hatua stahiki za tahadhari kutokufahamika. #2 - Mikusanyiko inaendelea pasipokuwa na tahadhali za msingi kuchukuliwa. Wizara ya afya na hasa serikali hamuwezi kujivua lawama kwa mwendelezo wa hali hatarishi zinazoendelea. Pana maisha mengi yanapotea hali ambayo ingeweza kuzuilika. Ifahamike serikali ina wajibu mkubwa wa kuwahami wananchi wake dhidi ya majanga likiwamo hili.
Kwa mtu kama mimi ambaye ni layman perce, huu ugonjwa wa COVID-19 unaoenakana uko tofauti kabisa na magonjwa mengine ambayo tulishawahi kuyaona huko nyuma. Ukisema ufuate taratibu zake za kujikinga nao sawa sawa kabisa kama inavyotakiwa kitaalamu , NDIO UNAUONGEZA NA KUUCHOCHEA. Jaribu kuangalia takwimu kwenye nchi ambazo hapo awali waliamua kufuata masharti yake yote kama inavyotakiwa, uone namna COVID-19 ilivyokuja kuwatandika pamoja na kufuata kwao masharti ya kujikinga, hadi imepelekea mpaka wakalegeza kabisa masharti ya kujikinga. Huu ugonjwa nadhani unafanya kazi zaidi kwa kupitia saikolojia za watu. Kadri watu wanavyozidi kuwa kwenye tahadhari kubwa, ndivyo kadri COVID-19 inavyozidi kuwashambulia zaidi.
 
Wewe k.enge na Corona zako humu si ujifungie ndani na mumeo mkae humo muangalie T.V hadi siku mkisikia Corona imeisha miaka 8 ijayo!?, Mbona unahangaika sana na Corona una kichaa cha kuiwaza CORONA masaa yote nini!?

Tangu Corona ianze umewahi kusikia kondakta wa daladala yeyote amekufa au kulazwa kwa Corona!?, Kumbuka anahudumia abiria zaidi ya 1000 kwa siku kwenye basi linalojaza nyomi bila barakoa wala sanitizer..

Watu wengine Corona inawafanya muonekane WAPUMBAVU. Ukitangaziwa idadi ya wagonjwa utapata nini!?, Tangu May 2020 hawatangazwi wagonjwa umepungukiwa nini!?

 
Kwa mtu kama mimi ambaye ni layman perce, huu ugonjwa wa COVID-19 unaoenakana uko tofauti kabisa na magonjwa mengine ambayo tulishawahi kuyaona huko nyuma. Ukisema ufuate taratibu zake za kujikinga nao sawa sawa kabisa kama inavyotakiwa kitaalamu , NDIO UNAUONGEZA NA KUUCHOCHEA. Jaribu kuangalia takwimu kwenye nchi ambazo hapo awali waliamua kufuata masharti yake yote kama inavyotakiwa, uone namna COVID-19 ilivyokuja kuwatandika pamoja na kufuata kwao masharti ya kujikinga, hadi imepelekea mpaka wakalegeza kabisa masharti ya kujikinga. Huu ugonjwa nadhani unafanya kazi zaidi kwa kupitia saikolojia za watu. Kadri watu wanavyozidi kuwa kwenye tahadhari kubwa, ndivyo kadri COVID-19 inavyozidi kuwashambulia zaidi.

Kwamba ugonjwa ni mpya? Hilo ni kweli.

Kwamba tunaweza kupuuza ya wataalamu? Hilo hapana.

Kwamba kwingine wamechapwa na ugonjwa huu kuliko sisi? Bila takwimu sahihi unajuaje hali yetu katika wakati wowote?

Kwani wewe una taarifa ya yeyote aliyekuwa mhanga wa ugonjwa huu zaidi ya nduguye Mbowe?

Kwamba kwa vile wewe halija kupata hadi sasa ndiyo udhani kuwa halipo?

Tuache mzaha wakuu.
 
Kwamba ugonjwa ni mpya? Hilo ni kweli.

Kwamba tunaweza kupuuza ya wataalamu? Hilo hapana.

Kwamba kwingine wamechapwa na ugonjwa huu kuliko sisi? Bila takwimu sahihi unajuaje hali yetu katika wakati wowote?

Kwani wewe una taarifa ya yeyote aliyekuwa mhanga wa ugonjwa huu zaidi ya nduguye Mbowe?

Kwamba kwa vile wewe halija kupata hadi sasa ndiyo udhani kuwa halipo?

Tuache mzaha wakuu.
Takwimu iulizonazo kwenye mtaa unaoishi wewe mwenyewe zinasemaje? Je, takwimu za watu ulio karibu nao ambao hukai nao mtaa mmoja, wao nao wanasemaje? Unadhani wa-Tanzania ni wajinga mno kiasi kwamba wanaweza kuishi kwenye mazingira ambayo wanapukutika kwa ugonjwa na wasijue?
Hoja yangu hapa siyo kwamba napinga njia za kitaalamu za kujinga na CORONA hapana, isipokuwa nashauri njia za kitaalamu ambazo siyo STRICT. Kwa mfano, waliokuwa na LOCKDOWN, sasa hivi unawaona bado wanaendelea na hizo lockdown?
 
Takwimu iulizonazo kwenye mtaa unaoishi wewe mwenyewe zinasemaje? Je, takwimu za watu ulio karibu nao ambao hukai nao mtaa mmoja, wao nao wanasemaje? Unadhani wa-Tanzania ni wajinga mno kiasi kwamba wanaweza kuishi kwenye mazingira ambayo wanapukutika kwa ugonjwa na wasijue?
Hoja yangu hapa siyo kwamba napinga njia za kitaalamu za kujinga na CORONA hapana, isipokuwa nashauri njia za kitaalamu ambazo siyo STRICT. Kwa mfano, waliokuwa na LOCKDOWN, sasa hivi unawaona bado wanaendelea na hizo lockdown?

Waliokuwa na lockdown wengine wameshachanja watu wao 60% kwenda juu na 100% ya waliokuwa hatarini zaidi. Unataka kujilinganisha na hao? Kwani kwenu %ngapi wamechanjwa?

Kwanini takwimu kwetu hazitolewi? Ulishawahi kujiuliza hilo? Kama wagonjwa au vifo hamna basi tatizo nini?


Wagonjwa na vifo ni vingi:


Fika hospitali eneo ulilopo kama utaingia bila barakoa.

Hujishangai kuwa na hoja juu ya hoja za wataalamu mkuu?
 
Hujishtukii kuwa watu wameshapuuza threads zako za Corona? Wewe ni MPUMBAVU fulani usiye na akili. Tangu April mwaka jana umekomaa na Corona na lockdown.

Ulivyo na akili finyu na kumbukumbu ndogo kipindi cha kampeni za Lissu ukaacha kuongelea Corona na madhara ya mikusanyiko ukampigia Lissu kampeni, baadae ukarudi tena na Corona zako. Upeo wako ni mdogo sana ndo maana nikakuita k.enge.

Kama unaipenda sana Corona jifungie ndani na mumeo. Inaonekana aidha unalishwa na mumeo, au unakaa kwa shemeji yako. Mwanaume anayejitafutia hawezi kukaa anaogopa Corona na kuanzisha threads za CORONA masaa yote humu.

Vipi jombi hujishangai bado?
 
Back
Top Bottom