Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,083
Hakuna namna hapo kubalini tu hasara ili kumrahisishia mwananchi na kumpa unafuu
Mkae mjadili muondoe hizo tozo na kodi mkiziacha hali ya maisha kwa mwananchi wa hali ya chini ni mzigo kwake hiyo secta imebeba mambo mengi sana
Kwenu serikali nazani mmeelewa
View attachment 2029835
Mkae mjadili muondoe hizo tozo na kodi mkiziacha hali ya maisha kwa mwananchi wa hali ya chini ni mzigo kwake hiyo secta imebeba mambo mengi sana
Kwenu serikali nazani mmeelewa
View attachment 2029835