Serikali tatu Ndani ya Shirikisho; Zanzibar ni nchi kamili kama Cape Verde!

President Elect

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
693
212
Tunapoelekea katika mjadala wa rasimu ya katiba, kuna dalili za wazi kuwa Zanzibar itaibuka kidedea na kuwa kama Cape Verde, na hatimaye kupeperusha bendera yake UN! Tusubiri tuone, yetu macho!
 
kwa ufupi znz siyo nchi kwa mujibu wa jaji wa kesi ya hamisi machano na wenzake iliyohusu kutaka kupindua nchi.
 
Jamani Waznz wenzangu tusijipi moyo kwa hilo ndio kwanza vita inaanza subiri tuone, mambo muhimu yamo ndani ya muungano na zanzibar itakua haina mamlala ndani ya muungano huo.
 
Tanzania haipo bila ya ZNZ, ndio maana ni ngumu Tanganyika kuiacha ZNZ iende! <br><br>Tanganyika itagharimika sana muungano ukivunjika.
 
Tanzania haipo bila ya ZNZ, ndio maana ni ngumu Tanganyika kuiacha ZNZ iende! <br><br>Tanganyika itagharimika sana muungano ukivunjika.

Unaweza kutuambia Tanganyika Bila Zanzibar itakosa nin?nin itapoteza?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom