President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Tunapoelekea katika mjadala wa rasimu ya katiba, kuna dalili za wazi kuwa Zanzibar itaibuka kidedea na kuwa kama Cape Verde, na hatimaye kupeperusha bendera yake UN! Tusubiri tuone, yetu macho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa ufupi znz siyo nchi kwa mujibu wa jaji wa kesi ya hamisi machano na wenzake iliyohusu kutaka kupindua nchi.
Tanzania haipo bila ya ZNZ, ndio maana ni ngumu Tanganyika kuiacha ZNZ iende! <br><br>Tanganyika itagharimika sana muungano ukivunjika.
Unaweza kutuambia Tanganyika Bila Zanzibar itakosa nin?nin itapoteza?