GKM
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 738
- 324
Wasalaam,
Tangu kutolewa kwa Rasimu mpya ya katiba yetu kumekuwa na mijadala mbalimbali kutokana na maudhui yaliyomo katika rasimu hiyo. Binafsi nimekuwa nikitafakari mustakabali wa nchi yetu endapo kama rasimu hiyo itapita bila kufanyiwa marekebisho yoyote.
>Je endapo tunataka kuwa na serikali tatu (kwa mfumo wa shirikisho), je tunaweza kusema kwamba tuna dhamira ya dhati ya kuelekea katika mfumo wa shirikisho la afrika mashariki?
>Kama tuna dhamira ya kuwa na EAF, je, kwa nini nchi zetu mbili zisiingie ktk shirikisho hilo zikiwa na mamlaka na uwakilishi unaojitegemea?
>Je, ni kweli kwamba serikali tatu ni option bora kuliko serikali moja? Au ni kukosekana kwa kiongozi mwenye ushawishi na 'ubavu' wa kulisimamia hilo?
>Je, kuna haja ya kuendelea na mradi wa vitambulisho vya taifa? Kama ipo, ni taifa lipi hilo?
Kwa sasa ni hayo tuu.
Karibuni kwa kuchangia.
Tangu kutolewa kwa Rasimu mpya ya katiba yetu kumekuwa na mijadala mbalimbali kutokana na maudhui yaliyomo katika rasimu hiyo. Binafsi nimekuwa nikitafakari mustakabali wa nchi yetu endapo kama rasimu hiyo itapita bila kufanyiwa marekebisho yoyote.
>Je endapo tunataka kuwa na serikali tatu (kwa mfumo wa shirikisho), je tunaweza kusema kwamba tuna dhamira ya dhati ya kuelekea katika mfumo wa shirikisho la afrika mashariki?
>Kama tuna dhamira ya kuwa na EAF, je, kwa nini nchi zetu mbili zisiingie ktk shirikisho hilo zikiwa na mamlaka na uwakilishi unaojitegemea?
>Je, ni kweli kwamba serikali tatu ni option bora kuliko serikali moja? Au ni kukosekana kwa kiongozi mwenye ushawishi na 'ubavu' wa kulisimamia hilo?
>Je, kuna haja ya kuendelea na mradi wa vitambulisho vya taifa? Kama ipo, ni taifa lipi hilo?
Kwa sasa ni hayo tuu.
Karibuni kwa kuchangia.