johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,609
- 141,429
Naibu Waziri wa Fedha Mh Chande amesema Tanzania haijashuka kutoka Kiwango cha Uchumi kati Mdogo bali kilichoshuka ni Uchumi wa mtu mmoja mmoja
Chande amesema Wananchi hawana sababu ya kuogopa kwani nchi bado inakopesheka na Serikali iko Makini kwenye Kuchagua mikopo sahihi
Source: ITV Habari
Chande amesema Wananchi hawana sababu ya kuogopa kwani nchi bado inakopesheka na Serikali iko Makini kwenye Kuchagua mikopo sahihi
Source: ITV Habari