Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 997
Mshahara sio njia ya kujikwamua kimaisha.Ujajibu swali kwa weredi.
Mshahara sio njia ya kujikwamua kimaisha.Ujajibu swali kwa weredi.
Paza sauti sema 5 tena 5 tenaIkipita miaka kumi bila bila.. hii mishahara itatosha kulipa nauli na kodi ya nyumba tu... sisi ni mashahidi tu
Aisee aya nikuacheMshahara sio njia ya kujikwamua kimaisha.
Huyu jamaa ni kilaza aisee.. eti walimu wa public hawazalishi output.. !Unataka useme shule zifutwe maana hazizalishi kitu.Tubakiwe na mahospital na TRA pekee yake?
Tatizo haukunielewa, Mimi nimekwambia kuwa umeangalia swala la mfumuko wa bei kwa context moja, Nakuelewesha tena sasa. Mfumuko wa bei unaweza kutazamwa kwa sababu au matokeoTechnically umekubaliana na mimi kwamba, ili kupunguza madhara ya inflation kwenye purchasing power lazima mshahara upande..
Sijui kwanini umempinga mwenzako?
Wafanyakazi ombeni Serekali idhibiti Mfumuko wa bei kwanza, mengine yatajiseti yenyewe!!Hii awamu ni historia! Watumishi wataikumbuka kwa mateso na adha waliopata.
Hakuna cha flai ova wala treni umeme zitakazo kumbukwa,zaidi ya umaskini wa kupindukia,kuporomoka kwa uwekezaji na mitaji.
Huna unaloweza,miaka yote hiyo unadhibiti kitu gani!Wafanyakazi ombeni Serekali idhibiti Mfumuko wa bei kwanza, mengine yatajiseti yenyewe!!
Usikute na wewe ni Mshauri eti wa huyo mzee wako! Kweli Nchi imepatwa. Kama mawazo na mtazamo wako ndiyo huu!!! Ni jambo lisilo shangaa kumuona mzee wako akigeuka kituko kila siku kutokana na matamko yake! Kumbe amezungukwa na watu wenye upeo mdogo sanawa kufikiri.Endelea kutafakari utapata majibu nini cha kufanya, lakini Kuongezewa mishahara kwa huduma inayotolewa bure ni ngumu hapa duniani because workers they don't provide any profit in terms of money.
Mitano tenaHii awamu ni historia! Watumishi wataikumbuka kwa mateso na adha waliopata.
Hakuna cha flai ova wala treni umeme zitakazo kumbukwa,zaidi ya umaskini wa kupindukia,kuporomoka kwa uwekezaji na mitaji.
Najua n vtu Viwili tofauti... Ila ata ww mwenyew yatafakar km ww una uhakika wa mshahara kla mwez unalalamika je yule ambae ata chek number haijui mwaka wa 6 huu afanyeje. Yaan mtu ambae hana kaz atataman apate hcho chako kidogo maisha yaendeleePitia uzi vizuri, hivi vitu viwili ni tofauti kabisa. Non related.. na nimetoa majibu kuhusu comment yako
Eti kwasababu watu hawana kazi ndo wengine wasiongezwe mshahara?