DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,904
- 45,320
Hayo mambo yenu mengine ni wastage of Time and resources.
Shule za Serikali zinabidi kutumia lugha ya kingereza Hadi chuo kikuu.
Nendeni katika shule za Serikali mjionee Maajabu watoto wanamaliza form four hawana kitu kichwani.
Acheni siasa katika Elimu.
Shule za Serikali zinabidi kutumia lugha ya kingereza Hadi chuo kikuu.
Nendeni katika shule za Serikali mjionee Maajabu watoto wanamaliza form four hawana kitu kichwani.
Acheni siasa katika Elimu.