montroll
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 319
- 126
Wananchi wa mkoa wa Simiyu walalamikiwa kwa kuzaa sana na hivyo kufanya uandikishaji watoto Shule kuwa mgumu kutekelezwa na Serikali.
Kama nakumbuka vizuri kuna wito ulitolewa na rais Magufuli wa kufyatua tu watoto na serikali itawasomesha.
Je wana Simiyu walaumiwe kwa kutekeleza wito huo?
Kama nakumbuka vizuri kuna wito ulitolewa na rais Magufuli wa kufyatua tu watoto na serikali itawasomesha.
Je wana Simiyu walaumiwe kwa kutekeleza wito huo?