Vilaza ni mtaji kwa CCM. Wenye akili washajisogezaKwa nini Serikali inatetea Ujinga, wanafurahi taifa likiwa na wingi wa Vilaza..?
Vilaza ni mtaji kwa CCM. Wenye akili washajisogezaKwa nini Serikali inatetea Ujinga, wanafurahi taifa likiwa na wingi wa Vilaza..?
Labda shule ya baba ako.Tatizo na wee shule huna kabisa
Haya yote yanasababishwa na Serikali kutotimiza wajibu wake ipasavyo kulikopelekea shule za Serikali kushuka Kitaaluma hivyo kutoa nafasi kwa Shule za Binafsi kushika Soko matokeo yake ndo haya hujui ushike kipi uache kipi!
kama una mtoto aliyepitia private hautakuja kutamka hayo unayotamka hata siku moja. ukweli siku zote upo wazi.Hizo shule zipo kuvutia biashara zao kwa kufanya sifa ya kufaulisha wanafunzi wote kumbe njama watumiazo ni kubagua watoto wenye vipaji
Ni bora wangweka matangozo ya kutaka watoto wenyepaji pekee kuliko hizo njia watumiazo
Babaangu kafikaje hapaLabda shule ya baba ako.
Yupo humu jamvini.Babaangu kafikaje hapa
Wastani wa serikali ndio unaozungumziwa. Ni 21 i think kwa form 2. Sasa mtoto labda ana avg ya 48 hajafikisha ya kwao ya 50 ndio amefeli? Nonsense na wewe pia.yan darasa wote wafaulu eti mwanao peke yake afeli utasema walim hawajafanya kaz yao?? nonsense kabsa
kuna wengne ni vichwa maji mwache arudie akichoka ataamua kua seriuz
Ngoja uzae zombi lako ndio utajutaShule bora zote zinatikisa Tanzania kwa sasa zinapitisha mchujo lazima upembue makapi kuna watoto wazaz wao wanapesa lakini kichwani ni mizoga ndo maana shule zinazojali elimu bora lazma wayatoe hayo mazombi
Wee mwehu naona unatafuta bwana shoga mkubwa wewe na ukoo wakoYupo humu jamvini.
Hiyo kazi yenu na dingi yako mkuuWee mwehu naona unatafuta bwana shoga mkubwa wewe na ukoo wako
ubora wa elimuPrivate mlipeleka kufanya nini?? Na serikalini bure
ubora wa elimuShule za kayumba hukuziona?
Ahsante kwa rekebisho!Ameandika zisizomilikiwa
Uelewa huu duni uliupata wapi? Akirudia darasa anapata nidhamu? Mijitu kama wewe munafanya serikali iandike barua kama hizi. Angalia hata unavyoandika, jamani!KWAHIYO KAMA MTOTO HANA NIDHAMU ASIREKEBISHWE KWA SABABU SERIKALI IMESEMA. KAMA UNAONA UGUMU/GHARAMA KWA MTOTO WAKO KURUDISHWA NYUMA ZIPO SHULE ZA SERIKALI TENA ZA BURE PELEKA HUKO. WEWE NI MMOJA WA WAZAZI WASIOJUA UMUHIMU WA ELIMU. NA KAMA HUNA MTOTO NI MMOJA WA WALE WA NDIO MZEE KWA KILA KITU