Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Mkuu ukishakubali kumfundisha mtoto, tuna uhakika utaweza kumpa uelewa anaohitaji, maana ni taaluma yako. Mtoto mwenye matatizo ya maumbile ana shule zake zenye uwezo wa kumfundisha. Ukijifanya unaweza halafu uishie kumfukuza lazima serikali ife na wewe.It makes sense! Ila kuna wengine, naturally, ndivyo walivyo. Hakuna namna unaweza kuwabadili.
TZ sasa hivi ina mijitu haikupata elimu inayostahili, ikapata mtaji, sasa inamiliki shule na kujiita 'Managers'. Mtu kama huyo ana manage nini? Pesa! akiona pesa imepungua, anakaririsha wanafunzi ili walipe tena. Anaiba mitihani ili avute wateja na mingine inaishia hata kwa waganga kwa imani za kishenzi tu!