Serikali rudisheni hospitali za makanisa mjenge zenu!

....[/QUOTE]

Samahani mkuu,hivi huku soma History kabisa eenh?Wamissionari na Wakoloni tofauti iko wapi?Kwa taarifa yako dini ilikuwa ni moja ya strategy ya kutawala koloni husika!Fumbuka macho mkuu.

Hauoni kwenye Bible nzima wao walisisitiza kipengele kimoja tu mtu akikupiga kofi upande wa kulia mgeuzie na kushoto.Walivyotuibia ardhi tukawapa na dhahabu!Kalagabaho!
 
Mimi wakoloni waarabu wa kislam hawanaga mpango wa kujenga huduma za jamii zaidi ya misikiti! Hata leo waislam wako hivyo hivyo! Hata ukiwaangalia leo matajiri wa kiislam wanajenga misikiti kila mtaa lakini hawajengi shule wala hospitali. Wengine wakichanga sadaka zao na kujenga shule na hospitali wao wanakasirika!
 
Warudishe kwanza dhahabu zetu almasi watulipe fidia kwa kuendesha biashara ya utumwa, halafu tupige hesabu pesa ya MoU mrudishe na riba ya 50%.

Uwambie na waarabu watulipe hela za kufanya watumwa babu zetu, kuwahasi ili wasizae na waarabu, kuwatupa baharini baaba ya msimu wa kazi, pembe za ndovu zetu walizobadilisha na shanga, mara riba 60%
 
Warudishe kwanza dhahabu zetu almasi watulipe fidia kwa kuendesha biashara ya utumwa, halafu tupige hesabu pesa ya MoU mrudishe na riba ya 50%.

Nani anatakiwa awaambie hawa wakolono haya maneno? mou? Unajua maana ya mkataba? Kwani kanisa ndio lilomba pesa serikalini ama babazenu (serikali) na viherehere vyao
 
Mojawapo ya kinachosumbua ndugu zangu Waislam ni MOU, nashauri na wao waitake serikali watengeneze yao.

Nchi za Kiislam zilianza kutoa misaada ya kifedha na elimu kwa nchi masikini kwa wingi kama zaka (jumuia za kiislam), ndio maana shule nyingi za Kiislam zilianza kujengwa, kilichotokea ni nchi za magharibi kudai kuwa misaada hiyo inasaidia kuzalisha ugaidi, na kuamua kuzishinikiza serikali za nchi zinazotoa misaada hiyo zisifanye hivyo vinginevyo zitakatisha mahusiano nazo. Kwa sasa misaada inayokuja ni tende na nyama za kondoo.
 
Uwambie na waarabu watulipe hela za kufanya watumwa babu zetu, kuwahasi ili wasizae na waarabu, kuwatupa baharini baaba ya msimu wa kazi, pembe za ndovu zetu walizobadilisha na shanga, mara riba 60%

Hii ni elimu tuliyopewa na wakoloni kwamba Waarabu walileta utumwa na kunyamazia watumwa waliokuwa wanakamatwa Afrika Magharibi na kupelekwa Ulaya na Marekani. Hivi mnafikiri wale Waamerika wenye asili ya Kiafrika walifikaje kule? "Ndege wote waimbe, akiimba bundi uchuro." Tufunuane akili kwamba mitume waliletwa mashariki ya kati, imekuwaje dini zitokee ulaya? Hizo zilikuwa ni mbinu zao, walianza kuleta Wamishionari waje kutupumbaza halafu kundi lingine likaja kututawala na kuchukua mali zetu. Nanukuu "when missionaries came,they had bible we had gold.They left with gold we remains with bible.......desmond tutu"

Kinachoendelea sasa hivi ni kutaka kutugombanisha kwa misingi ya kidini, vita ikianza watatuuzia silaha na sisi tutaendelea kununua silaha hizo kwa kutumia rasilimali zetu. Sasa hivi wanatumia neno demokrasia kutusambaratisha. Kwa mfano, (Mungu aepushe) Wafuasi wa Chadema wanapigwa mabomu kwa katika maandamano na mikutano yao, kitakachofuatia ni silaha za moto kupenyezwa na nchi za magharibi ili wapambane na askari, kitakachofuatia ni vita kamili kama ilivyokuwa Libya na sasa Syria mnakumbuka kule walianzaje? baada ya vita kwisha serikali itakayoingia madarakani itaanza kulipa deni la silaha watakazoingiza. WATANZANIA TUFUNGUE MACHO!!!! Tuache mijadala ya kidini, tujadili jinsi ya kuleta maendeleo tena ikiwezekana kwa kupitia dini hizohizo ila tusigombane, yaliyopita si ndwele....!
 
Asante kwa maelezo yako, ila mi nalielewa hilo la ubaya wa wakoloni huko magharibi na biashara yaoharamu ya utumwa na ubaya wa waarabu na uuaji wa vizazi vyetu.Wote weupe hawanajema kwetu na hawajawai kua na jema kwetu.
 
Waambie kwanza wamissionari warudishe dhahabu na rasilimali zetu nyingine kwanza walizoiba kwa kutudanganyia dini na pia wapandishwe mahakamani kwa manyanyaso na mauaji ya babu zetu hapo nitaungana mkono na wewe.
Umenikumbusha na Watanzania wenzetu walioficha fedha Uswisi na kwingineko pia wanastahili wapandishwe mahakamani!
 
Waliochukua dhahabu yenu si wamishenari, ni wakoloni. Anzia kwa Malkia Elizabeth ambaye nasikia alipewa bonge la almasi ambalo halijawahi kuonekana duniani. Wamishenari wengi niliowafahamu wameondoka Tanganyika/Tanzania wakiwa fukara kama walivyokuja. Kwa hiyo hii dhana kwamba wamishenari walikuja kuiba dhahabu ni dhana potofu. Walioiba dhahabu ni wakoloni. Nikiwa bado kwenye ukurasa huo huo, tuwaadhibu wale waliowachukua babu zetu utumwani na kuwakata makende wasijezaana Arabuni.

Ndio maana kila asemacho mwingereza tunakubali hata kutetea ushoga tutakuwa tayari kwani hao ni 'rafiki zetu katika chama chetu' yaani friendi party. Agent wa ukoloni ni hao wamishenari, walitufanya tukubali wakoloni ni ndugu zetu,walijenga shule na hospitali kwa kutumia malighafi zetu, kwa hiyo hakuna kuwasamehe tunachukua vyote warudi kwao magharibi. nikiwa bado hapohapo wamishenari ndo wezi wa kwanza wa dhahabu zetu na kanisa katoliki linamiliki dhahabu kibao. WEZI WAKUBWA NYIE
 
Warudishe kwanza dhahabu zetu almasi watulipe fidia kwa kuendesha biashara ya utumwa, halafu tupige hesabu pesa ya MoU mrudishe na riba ya 50%.

Kabla ya kufanya hayo kwanza wakristu nao wapewe chuo kikuu bure
 
Ndio maana kila asemacho mwingereza tunakubali hata kutetea ushoga tutakuwa tayari kwani hao ni 'rafiki zetu katika chama chetu' yaani friendi party. Agent wa ukoloni ni hao wamishenari, walitufanya tukubali wakoloni ni ndugu zetu,walijenga shule na hospitali kwa kutumia malighafi zetu, kwa hiyo hakuna kuwasamehe tunachukua vyote warudi kwao magharibi. nikiwa bado hapohapo wamishenari ndo wezi wa kwanza wa dhahabu zetu na kanisa katoliki linamiliki dhahabu kibao. WEZI WAKUBWA NYIE

Kohayuvyina butarasha??? hahahahhahahha, kweli wamejengea mali ghafi zetu
 
Kabla ya kufanya hayo kwanza wakristu nao wapewe chuo kikuu bure

Nasikia mh. Muhongo anaanza kurejesha zilizokuwa mali za TANESCO yakiwemo majengo yaliyogawiwa kama pipi na kuliacha shirika hohehahe. Yaani TANESCO inakufa na mengi jamani!
 
Hiyo biashara ya utumwa siilikuwa ni ya sultani
Warudishe kwanza dhahabu zetu almasi watulipe fidia kwa kuendesha biashara ya utumwa, halafu tupige hesabu pesa ya MoU mrudishe na riba ya 50%.
 
Kwa mtu yoyote makini na mwenye akili timamu kabisa ataona raha sana kuishi kwenye nyumba yake na sio ya kupanga.

Nashangaa sana kwa Serikali ya JMTz ambayo ina madaktari na wahudumu wengine wa kada ya afya wa kutosha sana na ina fedha na vifaa vya maabara vya kutosha wanachokosa wao ni ile akili ya kujenga majengo yao ya hospitali na kuona fahari kubwa sana kupanga kwenye hospitali za kanisa.

Pasi na shaka yoyote kuna manufaa hapo kwa pande hizo mbili ndio maana wakasaini MoU ili kuwe na manufaa kwa upande mmoja.

naamini siku zote cha mlevi huliwa na mgema.

Poleni sana Tz
 
Kabla ya kufanya hayo kwanza wakristu nao wapewe chuo kikuu bure

Kutokana na MoU ya kanisa na Serikali ya JMTz. Kila mwaka makanisa yanachukua 1.2 Billion Tz Riyal. Pesa ambazo zinatosheleza kabisa kujenga hospital tano za level ya wilaya( kama ya Amana hospital) na hapo hapo tena Serikali hiyo hiyo inalipa wafanyakazi wa kada zote za Afya kwa hospitali za Kanisa ikiwa pamoja na kufanmya matengenezo na kununua vifa vya maabara.

Kifupi makanisa yananufaika sana sana ndio maana hawataki hata siku moja kuifukuza au kuilazimisha Serikali yeni ijenge hospitali zake.

 
Tangu dunia imeumbwa wamisionari wa kikristo kutoka ulaya walikuja na kujenga huduma mbali mbali za kijamii kwa kushirikiana na makanisa mbalimbali. Walijenga shule, hospitali makanisa, na kadhalika, walipoondoka waliwaachia madhehebu mbali mbali ya kikristo. Serikali ya awamu ya kwanza iliamua kuzitaifisha kwa manufaa ya umma, lakini wakristo hawakuacha mtindo wao wakujenga huduma za jamii! Waliendelea na mtindo ule ule walioacha wakoloni wa kikristo,

Serikali haikuweza kujenga huduma za jamii badala yake walianza kuomba ushirika na taasisi za kikristo baada ya wao kushindwa kujenga,

Malalamiko ya waislam kwamba serikali inawapa kanisa hela yanatoka wapi Wakati serikali yenyewe ndo inaenda kuomba ubia ktk taasisi za kikristo?

Serikali ianze mkakati wa kujenga huduma zake na zile za makanisa wajitoe ili hawa wanaolalamika waache.

Tukumbuke kuwa mkoloni wa kiarabu hakuwa na mpango wa kujenga huduma za jamii zaidi ya misikiti na madrasa!


Sioni Sababu ya SERIKALI Kurudisha hizo Hospitali za Mission; Wamissionari bado wapo Wajenge Hospitali Mpya

Kwanini Mawazo ya kizamani ? Kama Mwarabu hakujenga Hospitali sasa Unatakanini? watu kama wewe pia hamfai kwenye

​Taifa letu; Mwazo finyi ya KIDINI; Unatakiwa Uende ukale VITUMBUA na watu wa UAMSHO... Wabinafsi, Wamimi Wadini
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom