uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
We jinga kweli sasa unauliza je wangekufa?....kwani wamekufa?Jiulize kwa akili yako ndogo, je wangekufa uchunguzi usingefanyika? Poor you.
We jinga kweli sasa unauliza je wangekufa?....kwani wamekufa?Jiulize kwa akili yako ndogo, je wangekufa uchunguzi usingefanyika? Poor you.
MO Dewji alitekwa na yu hai.Kesi yake imefikia wapi?Nani amekamatwa hata kwa mahojiano tu?Si hajafa kwanini tu assume mtu kafa angali yu hai, mbona unakuwa mgumu kuelewa, nini maana ya kuisaidia polisi?acheni ujinga kwenye maswala muhimu.
Hawa hawajafa ebu kuweni waelewa basi...shida yenu lissu alivyosema kuwa kama wao wangekufa basi kisingekuwa na uchunguzi basi nanyi kila mmoja anauliza hivyohivyo ndio maana tunawaita nyumbu.
Cctv anaweza akaziondoa mtu yoyote mwenye nia mbaya au mwenye huo mchongo wa lissu, lakini lissu mguu wake wakulia umepigwa risasi pia, hile gari y lissu ilipigwa risasi upande wa kushoto, mdio maana tunamuomba nadereva aje atupe dondoo mbili tatu tupate pakuanzia.CCTV hamjazing"oa? Kwa nini CCTV MMEZIFICHA?
We kunyeo tuu...sasa dereva kafa? Kama angekufa ingepatikana njia nyingine acha umalaya.Mbona wao wameficha makamera, walinzi na wauaju???angekufa huyo dereva wasingechunguza, acha unyani wewe
Je angekufa upelelezi ungefanywaje , na zile camera vipi haziwezi kusaidia upelelezi kama zilivyosaidia kuwaona wale wazungu wawili waliomteka MO ?
was inside job ndio maana dereva hakuchafuliwa hata shati....Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola amelieleza Bunge kuwa Jeshi la Polisi limeshindwa kuendelea na kazi ya upelelezi wa kesi ya kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu lililotokea September 7, 2017 nyumbani kwake Dodoma wakati akitokea Bungeni.
Waziri Lugola akiwa Bungeni amesema kuwa wapelelezi wameshindwa kutokana na kwamba kwenye gari kulikuwa na watu wawili tu ambao ndio key witnesses.
Akaendelea kwamba anashangaa kwanini mpaka sasa dereva wa Lissu ameamua kuitelekeza kesi hiyo kwa kushindwa kuonesha ushirikiano.
----
Waziri wa mambo ya ndani ya nchini, Kangi Lugola amesema kesi ya kushambuliwa kwa risasi mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu imeshindwa kuendelea kutokana na mbunge huyo pamoja na dereva wake kushindwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi kwani wao ndiyo mashuhuda muhimu wa tukio hilo.
Lugola amesema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu hoja za wabunge waliokuwa wakichangia taarifa ya kamati ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama.
Lugola amesema siku hiyo ndani ya gari Lissu alikuwa na dereva wake ambao ni mashuhuda muhimu katika kesi hiyo (key witness).
“Kesi ya Tundu Lissu imetelekelezwa. Gari lilikuwa na watu wawili baada ya tukio hilo ‘key witness’ wamepotea katika mazingira ya kutatanisha.
“Ingawa ameshapona na kutoka hospitalini, kwa nini harudi kuja kutusaidia. Sisi hatuwezi kujua ni wembamba, wanene, aje ili atusaidie,” ameongeza.
Ametaka watu kutotumia mbinu zao kusema kuwa kesi zinacheleweshwa wakati hawataki kutoa ushirikiano.
Hata hivyo, wakati wote Lugola anaeleza hayo wabunge wa upinzani waliomba kutoa taarifa bila mafanikio baada ya Naibu Spika, Dk Tulia Ackson kusema ameshakataa kutoa nafasi za taarifa wala mwongozo tangu awali.
Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 mchana wa Septemba 7, 2017 katika makazi yake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria vikao bungeni ambapo kwa sasa ametoka hospitali na anaendelea na ziara barani Ulaya na Marekani.
Hata huko aliko panafikika kwa nin wasiende!!?Rubbish, waziri Lugola Lissu anashangaa pia katika hao eye witness alikuwepo house girl wake na house girl wa naibu speaker. Ambao hwajawahi kuhojiwa na polisi.
Mlishindwa kwenda kumhoji Nairobi alipopata fahamu?
Asipojibu kibarua kinaweza kuotaHaya mambo yakikufika ndio utaujua uchungu wake, mh. Kangi kulikuwa hamna haja ya kulizungumzia hili, ungekaa kimya
Mnamchunguza yeye au tukio? Hata kujua silaha iliyotumika na risasi za aina gani tu mmeshindwa?Hajafa sasa si aletwe ili uchunguzi ufanyike?
Akiingea tu ... Utasikia uchunguzi umeharibika. Ngoja dawa iwaingie waendelee kuweweseka tu.Wametelekeza sababu wanahusika, wanataka wampate dreva wamnyamazishe.
Ni vizuri dreva nae aongee ukweli wote kwenye vyombo ya habari vya nje.
Hahaha....wasiojulikana ambao wanajulikana sasa wanaweweseka.Mbona Mo kawapa ushirikiano wote na watekaji hawajapatikana hadi leo?
Sasa TAL akiielezea dunia yaliyompata na kwamba serikali haioneshi nia ya dhati kutimiza wajibu wake, wao wanaendekeza propoganda za kiCCM zilizopitwa na wakati eti Lissu ametukana taifa, anapaka matope taifa! Amewaeleza vizuri kwamba serikali zinaweza kuja aina mbalimbali lakini taifa ni lile lile. Kinachoshindwa kutimiza wajibu si taifa la Tanzania (wananchi), bali serikali ya Tanzania (kikundi cha watu waliochaguliwa na wananchi kusimamia utekelezaji wa Katiba).Siyo hili tu, Serikali imeshindwa mengi. Hata polisi aliyempiga risasi Akwilina (RIP) alitambulika ila walishindwa kumtambua. Ikaishia kuwafungulia mashtaka viongozi wote wa CHADEMA.
We we ni goigoi alipigwa risasi eneo ambalo lina camera walinzi wapo ushahidi wa kwanza ungekua wa kamera we vipWewe ulitaka asemeje? Kwanini dereva mmeficha?
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola amelieleza Bunge kuwa Jeshi la Polisi limeshindwa kuendelea na kazi ya upelelezi wa kesi ya kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu lililotokea September 7, 2017 nyumbani kwake Dodoma wakati akitokea Bungeni.
Waziri Lugola akiwa Bungeni amesema kuwa wapelelezi wameshindwa kutokana na kwamba kwenye gari kulikuwa na watu wawili tu ambao ndio key witnesses.
Akaendelea kwamba anashangaa kwanini mpaka sasa dereva wa Lissu ameamua kuitelekeza kesi hiyo kwa kushindwa kuonesha ushirikiano.
----
Waziri wa mambo ya ndani ya nchini, Kangi Lugola amesema kesi ya kushambuliwa kwa risasi mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu imeshindwa kuendelea kutokana na mbunge huyo pamoja na dereva wake kushindwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi kwani wao ndiyo mashuhuda muhimu wa tukio hilo.
Lugola amesema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu hoja za wabunge waliokuwa wakichangia taarifa ya kamati ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama.
Lugola amesema siku hiyo ndani ya gari Lissu alikuwa na dereva wake ambao ni mashuhuda muhimu katika kesi hiyo (key witness).
“Kesi ya Tundu Lissu imetelekelezwa. Gari lilikuwa na watu wawili baada ya tukio hilo ‘key witness’ wamepotea katika mazingira ya kutatanisha.
“Ingawa ameshapona na kutoka hospitalini, kwa nini harudi kuja kutusaidia. Sisi hatuwezi kujua ni wembamba, wanene, aje ili atusaidie,” ameongeza.
Ametaka watu kutotumia mbinu zao kusema kuwa kesi zinacheleweshwa wakati hawataki kutoa ushirikiano.
Hata hivyo, wakati wote Lugola anaeleza hayo wabunge wa upinzani waliomba kutoa taarifa bila mafanikio baada ya Naibu Spika, Dk Tulia Ackson kusema ameshakataa kutoa nafasi za taarifa wala mwongozo tangu awali.
Lissu alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 mchana wa Septemba 7, 2017 katika makazi yake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria vikao bungeni ambapo kwa sasa ametoka hospitali na anaendelea na ziara barani Ulaya na Marekani.