Serikali ongezeni Shule za A-level Watoto wetu wapate Elimu wanayoitaka

frankshops

JF-Expert Member
Jul 28, 2015
212
180
Nilitembelea ofisi za Elimu mkoa,nilikuta utitiri wa wazazi na watoto wengi wamejazana kilio chao kikiwa ni watoto wao kupangiwa chuo wakati vijana hawa walitamani kwenda kusoma kidato cha tano lengo ambalo pia nilikuwa nalo.

Cha ajabu ni kwamba jibu walilopewa kila mmoja ni nafasi hazitoshi,ushindani ni makubwa.Ukifuatilia wengi wa watoto hawa wanna division 2 na wengine division 1.na kutakiwa kuwapeleka private ambazo ada tu ni Kati ya 1500,000. hadi 4,500,000.wengi watabakia mtaani kwa Sababu jambo hili limekuwa la ghafla kwao,lakini pia uwezo mdogo.

Pia Mtoto wa miaka 17 anatoka kijijini,Kasulu unampangia Dar Chuo cha biashara jiji la maisha ya ghali, ambako hajawahi kufika,akaishi maisha ya kujitegemea ni kama kumsusia na kumnyima haki yake kielimu na kumpa mzigo mzito mzazi ambaye maisha yake ni ya chini.

Ongezeko la ufaulu ,Ongezeko la usajili kidato cha kwanza,na Ongezeko la shule za Kata, linatakiwa liendane na upanuzi wa shule za A-level.Mkakati uliofanywa na Rais kuhakikisha kuwa watoto waliofaulu darasa la saba wanaenda kidato cha 1,utumike pia kwa Kidato cha tano.Fungueni A- level kila kata watoto wetu w apate elimu wanayotaka kwani wanazo sifa wamefaulu.Shule zipo majengo yapo walimu wabobezi wapo,wataalamu wa Wizara zetu mnashindwa nini?Msaidieni Rais,msisubiri mpaka atoe tamko.

Unapomuacha mtaani kijana Ana div 2 point 20,Math C,Physics D,Biology B,Chemistry C,Geography C,History C,Civics C,Kiswahili C na English C ,eti kisa shule aliyochagua ilikuwa na ushindani kwenye combinatoon au hakubadili tahasusi baada ya matokeo ,ni uonevu mkubwa.msifikiri wazazi wote wana smartphone.

Na. kama mtoto huyu hataki kwenda chuo ,anataka kusoma kidato cha tano,na amefaulu kwa nini umlazimishe.Haki ya huyu mtoto kupata elimu anayoitaka iko wapi?.

KAMA vipi basi,toeni ruzuku shule binafsi ada ipungue hadi walau laki 4,watoto wetu wasome.Inaumiza kwa sababu sisi wengine tulipata elimu bure enzi zetu,

Naamini awamu hii ni sikivu sana,mtatusikiliza wazazi.Hiki ndo kilio likubwa mtaani kwa sasa.
 
Wengine siku hizi wanaona wakitoka kidato cha 4 bora watoto wao waende vyuo vya kati ambako hupata ujuzi na maarifa ya kutosha! Wengi wanaopita vyuo hivi huwa mahiri sana! Watoto wenyewe hawaeleweki, anaweza akatoka na div 1 kidato cha 4 afu kidato cha 6 akapata 4! Watoto waende tu vyuo vya kati, huko chuo kikuu watajiendeleza wenyewe!! Mfumo wa kwenda kidato cha 5 - 6 unachelewesha muda!
 
Nilitembelea ofisi za Elimu mkoa,nilikuta utitiri wa wazazi na watoto wengi wamejazana kilio chao kikiwa ni watoto wao kupangiwa chuo wakati vijana hawa walitamani kwenda kusoma kidato cha tano lengo ambalo pia nilikuwa nalo.

Cha ajabu ni kwamba jibu walilopewa kila mmoja ni nafasi hazitoshi,ushindani ni makubwa.Ukifuatilia wengi wa watoto hawa wanna division 2 na wengine division 1.na kutakiwa kuwapeleka private ambazo ada tu ni Kati ya 1500,000. hadi 4,500,000.wengi watabakia mtaani kwa Sababu jambo hili limekuwa la ghafla kwao,lakini pia uwezo mdogo.

Pia Mtoto wa miaka 17 anatoka kijijini,Kasulu unampangia Dar Chuo cha biashara jiji la maisha ya ghali, ambako hajawahi kufika,akaishi maisha ya kujitegemea ni kama kumsusia na kumnyima haki yake kielimu na kumpa mzigo mzito mzazi ambaye maisha yake ni ya chini.

Ongezeko la ufaulu ,Ongezeko la usajili kidato cha kwanza,na Ongezeko la shule za Kata, linatakiwa liendane na upanuzi wa shule za A-level.Mkakati uliofanywa na Rais kuhakikisha kuwa watoto waliofaulu darasa la saba wanaenda kidato cha 1,utumike pia kwa Kidato cha tano.Fungueni A- level kila kata watoto wetu w apate elimu wanayotaka kwani wanazo sifa wamefaulu.Shule zipo majengo yapo walimu wabobezi wapo,wataalamu wa Wizara zetu mnashindwa nini?Msaidieni Rais,msisubiri mpaka atoe tamko.

Unapomuacha mtaani kijana Ana div 2 point 20,Math C,Physics D,Biology B,Chemistry C,Geography C,History C,Civics C,Kiswahili C na English C ,eti kisa shule aliyochagua ilikuwa na ushindani kwenye combinatoon au hakubadili tahasusi baada ya matokeo ,ni uonevu mkubwa.msifikiri wazazi wote wana smartphone.

Na. kama mtoto huyu hataki kwenda chuo ,anataka kusoma kidato cha tano,na amefaulu kwa nini umlazimishe.Haki ya huyu mtoto kupata elimu anayoitaka iko wapi?.

KAMA vipi basi,toeni ruzuku shule binafsi ada ipungue hadi walau laki 4,watoto wetu wasome.Inaumiza kwa sababu sisi wengine tulipata elimu bure enzi zetu,

Naamini awamu hii ni sikivu sana,mtatusikiliza wazazi.Hiki ndo kilio likubwa mtaani kwa sasa.
Napenda kuongeza kuwa idadi ya wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne ni kama nusu ndio wanaingia kidato cha tano, ukiondoa wanaokwenda vyuo. Naona kama hii inatisha. Mfano huko wilayani Kyela shule za A-level ziko mbili tu wilaya nzima. Hivi si sawa kabisa. Tafadhali viongozi husika fanyeni bidii juu ya jambo.
Pia na wale wanaochukuliwa kwenda vyuo kuu ni karibu laki moja tu hivi, hii ni kutoka watoto zaidi ya milioni wanoanza darasa la kwanza. Elimu ya Tanzania lazima iangaliwe kwa undani na umakini mwingi hasa eneo la ufundishaji na mazingira yake.
Watoto hawawezi kuwa 10% tu ndio wanofika chuko kikuu tangu anaposajili darasa la kwanza. Wizara husika itafiti na na kufanya uamuzi sahihi.
Sasa hivi ni miaka zaidi 50 tangu tupate "uhuru" bado hatujapata dawa ya elimu Tanzania?
 
Back
Top Bottom