johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,445
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri pamoja na baraza la madiwani wamepiga marufuku shughuli zote za waganga wa kienyeji wenye leseni na wasio na leseni wakiwemo lambalamba na wapiga ramli.
Mkuu wa wilaya amesema mganga yeyote atakayekiuka agizo hilo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Chanzo: ITV
Mkuu wa wilaya amesema mganga yeyote atakayekiuka agizo hilo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Chanzo: ITV