Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Yawezekana rushwa ilitembea who knowsNdio hapo sasa. Iweje watu waseme kuna ofisi zinatoa kitambulisho baada ya wiki mbili na wengine tuna zaidi ya mwaka hatujapata? Haiwezekani kwamba ni NIDA hiyo hiyo moja