Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaogopa nini kufanyiwa tathmini? kwani wewe hutimizi wajibu wako? kwanini usifanyiwe tathmini? unaogopa nini? mbona private sector ni swala la kawaida? punguza dekoNiliajiriwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma, na nitafukuzwa kwa sheria na kanuni za utumishi wa umma, sawa bro?
Kila mwaka tunafanyiwa tathmini kwa kutumia OPRAS, bado hiyo haitoshi?unaogopa nini kufanyiwa tathmini? kwani wewe hutimizi wajibu wako? kwanini usifanyiwe tathmini? unaogopa nini? mbona private sector ni swala la kawaida? punguza deko
Hao wanaofanyia wenzao tathimini wao wamejitathimini?wanaandaa njia za kulipana posho ilhali hao wanaotaka kuwatathimini wanamaisha ya aibu sana,hawa viongozi sijui wanawazaje Sielewi,sijaona hata anaekuja na wazo la kuboresha mazingira ya watumishi kila siku wanawaza kuwakomoa tu.unaogopa nini kufanyiwa tathmini? kwani wewe hutimizi wajibu wako? kwanini usifanyiwe tathmini? unaogopa nini? mbona private sector ni swala la kawaida? punguza deko
Dawa yao ni hii : 2% ya expertise yako ni kuitumia serikalini kufanya kazi, 98% ya expertise yako unaitumia kutafutia maisha yako nje ya muda wa kazi.Hao wanaofanyia wenzao tathimini wao wamejitathimini?wanaandaa njia za kulipana posho ilhali hao wanaotaka kuwatathimini wanamaisha ya aibu sana,hawa viongozi sijui wanawazaje Sielewi,sijaona hata anaekuja na wazo la kuboresha mazingira ya watumishi kila siku wanawaza kuwakomoa tu.
Niliajiriwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma, na nitafukuzwa kwa sheria na kanuni za utumishi wa umma, sawa bro?
Kumbe unalijua jambo hilo bc jiajir acha kulialia au n wew huna mtajPesa za kuwalipa hawana ndoo maana hawawez kuajili